mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,677
- 19,484
Majirani, hongereni kwa mchezo mzuri wa jana. Ushabiki nikiweka pembeni jana mlikua vizuri kwenye kila eneo, ata goli tulilopata ni lapapatu papatu tu
Timu mnayo, amorim ashindwe yeye tu. Unapokua na watu like cunha, mbeumo, sesko moja kwa moja watu watataka matokeo
Usajiri wenu umeonesha impact for 90%, mazee timu mnayo
Jambo ambalo arsenal ashukuru ni kumalizana na nyumbu OT kabla gari halijawaka vizuri
Cunha sesko mbeumo mkienda vizuri na hii front line bila majerui, itakua hatari sana msimu huu
Ukiona kipa ndio man of the match, ujue hali haikuwa shwari

Timu mnayo, amorim ashindwe yeye tu. Unapokua na watu like cunha, mbeumo, sesko moja kwa moja watu watataka matokeo
Usajiri wenu umeonesha impact for 90%, mazee timu mnayo
Jambo ambalo arsenal ashukuru ni kumalizana na nyumbu OT kabla gari halijawaka vizuri
Cunha sesko mbeumo mkienda vizuri na hii front line bila majerui, itakua hatari sana msimu huu
Ukiona kipa ndio man of the match, ujue hali haikuwa shwari

