Ni kweli kabisa mkuu Leo arsenal walikua wameingia kwenye mfumo, saivi timu inacheza na unaona kabisa kuwa kocha. Ruben ana ibadilisha timu taratibu, lakini watu wana taka yale yale ya shaolin monk 10hag. Leo unashinda kwa timu kubwa alafu kesho na kesho na keshokutwa unashenyentwa mfululizo mpaka upate tena bahati ya kushinda huku mfumo unaocheza haueleweki na hauna kikosi cha kwanza 1 chenye wachezaji wanaoelewana vizuri kwenye pitch.Kinachotakiwa ni kukomaa Tu, mechi ilikuwa ya kwetu kabisa. Yaani Arsenal utadhani walitoka Bar Kwanza ndo wakaja Old Trafford, kiuchezaji tuliwazidi lakini kwenye matokeo ambacho ndio muhimu zaidi wametuweka.
Tushapata funzo tayari, tuache papara , tutulie kwenye boksi magoli yatapatikana tu...Yule kipa toka msimu uliopita kwenye mipira ya Aina Ile hayuko vizuri. Lazima tupate kiungo box to box with legs, hatari niliyoiona ni kwamba tukikutana na timu zinazokimbia Sana basi soon tutamtukana Casemiro maana Combo na Bruno inaifanya timu sometimes haina balance japo hili huwezi kuliona Leo vizuri.
Wala tusiwe wanafki Leo timu ilikuwa unaona kabisa ina improvements kubwa Tu, kinachohitajika tuongeze intensity, tucheze Kwa nguvu mechi zote.
Ndio Mshagongwa SasaNi kweli kabisa mkuu Leo arsenal walikua wameingia kwenye mfumo, saivi timu inacheza na unaona kabisa kuwa kocha. Ruben ana ibadilisha timu taratibu, lakini watu wana taka yale yale ya shaolin monk 10hag. Leo unashinda kwa timu kubwa alafu kesho na kesho na keshokutwa unashenyentwa mfululizo mpaka upate tena bahati ya kushinda huku mfumo unaocheza haueleweki na hauna kikosi cha kwanza 1 chenye wachezaji wanaoelewana vizuri kwenye pitch.
Kama unavyofanywa wew choko.Ndio Mshagongwa Sasa
We watu walivyokuwa wanashangilia kwenda kwa mhindi ulikuwa unawaona wajingabaada ya bwana ally pipi kutabiri🤣Ally papi tapeli sana si alisema aseo watapata moja wao matatu sasa matatu ya manyumbu yako wapi?
Shaw ni mchezaji smart sana ana utulivu sana akiwa na mpira hana pala pala ila Yoro naona changamoto yake kubwa akiwa na mpira hasa kwenye maeneo ambaye kuna pressure anakua kama ana hofu iviKwa kutumia akili ya kawaida kabisa leo hatukuwa tunaingia uwanjani kushindana na arsenal bali wengi wetu tulitaka kuona positivity kwenye kikosi chetu ukilinganisha na msimu jana. Mambo chnya leo uwanjani yalikuwa mengi sana kuliko hasi.
Kama uchezaji utakuwa huu mechi hadi mechi, basi ni suala la muda tu timu itashika momentum na wapinzani hawatakuja kizembe tena dhidi yetu.
Ugarte sijui Uruguayan wa wapi huyu jamaa, ni heri auzwe yeye tubaki na casemiro kama squad player.
Nmauombea Shaw uimara wa mwili walau acheze mechi 25 za msimu, huyu anajua sana kuzuia ujinga wa akina Saka.
Yoro kama naanza kumuelewa vile, ila Mbeumo na Cunha ni tracker wazuri sana upande wa mapana ya uwanja.
Mechi inayofuata tutaona zaidi kama timu imeamka au ni wenge la arteta boys limetuweka kwenye ramani.
Ndio Mshagongwa huko nyumaKama unavyofanywa wew choko.
Sesko kaingia na Amad lakini Diallo, Ugarte kakiwasha kuliko huyu Tapeli SeskoSesko alisajiliwa lini mpaka kashindwa kufunga pre season?
Haha 🤣 🤣 🤣 🤣 haaaaaaaaaaaa...Manyumbu yapo hoi
Ukweli mchungu huu.Nyie takataka mnakamia mechi ili mfungwe moja bila mfurahi ?
Arsenal miaka yote akishinda old Trafford anashindaga moja bila kwa hiyo nyinyi bado ni takataka tu msijifariji hapo nilikuwa napiga show za mkwezi
Njooni geto niwapige mridhike
Manjesta ni mwali wa kizaramo ukimpiga kimoja anatangaza mtaa mzima mwanaume hana nguvu za kiume
Huyo wa juu mpaka anatolewa alikua mzururaji kama askari wa doriaWaswahili wanakuambia usiku wa deni haukawii kukuchaView attachment 3443691


duh!, Kudaadeki kumbe pale ndo mumecheza vizuri.. chey chey I don want peace I want problem alwaysTumecheza vizuri lakini tumeshindwa kutumia nafasi za wazi.