Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wasakana waonana ni vibwengo vya Wenger orphans dhidi ya watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha😁😁😁

My prediction
Manchester united 3 vs aserwali 1

Stadium 🏟️
Old Trafford

Time
12:30 jioni

Leo tutachapa tutakanda wale arsenal vibaya sana

GGMU👹View attachment 3444021
Wenzenu washapata lao moja, bado yenu matatu..
 
Kipa kwenye mipira iliyokufa anakubali kubanwa na genge la aseno anashindwa hata kuwatoa upande wake?
 
Ally papi tapeli sana si alisema aseo watapata moja wao matatu sasa matatu ya manyumbu yako wapi?
 
Timu bora iko nyuma ya goli moja

Apo bado Chesco matunda yupo bench
 
Hii mechi imeamuliwa na ubora wa kipa wa arsenal na ubovu wa kipa wa man u. Kiukweli utd haijawahi kuwa na kia wa bovu kama waliopo sasa.
 
Back
Top Bottom