John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Piga nyumbu hao Leo golini sijui mtamuweka nani chujio onana au ertugul bey? Ili tubeti idadi ya magoli ya gyokeres 😂
Dah mkuu umeanza tena na tabiri zako.Wasakana waonana ni vibwengo vya Wenger orphans dhidi ya watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha😁😁😁
My prediction
Manchester united 3 vs aserwali 1
Stadium 🏟️
Old Trafford
Time
12:30 jioni
Leo tutachapa tutakanda wale arsenal vibaya sana
GGMU👹View attachment 3444021
Haya Sasa jamaa katabiri Leo🤣🤣Wasakana waonana ni vibwengo vya Wenger orphans dhidi ya watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha😁😁😁
My prediction
Manchester united 3 vs aserwali 1
Stadium 🏟️
Old Trafford
Time
12:30 jioni
Leo tutachapa tutakanda wale arsenal vibaya sana
GGMU👹View attachment 3444021
Inasubiri offer ya chelseaSio baleba bana
Timu yake haitaki mzee
Ushindi arsenal unakamilika baada ya hii tabiriWasakana waonana ni vibwengo vya Wenger orphans dhidi ya watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
My prediction
Manchester united 3 vs aserwali 1
Stadium![]()
Old Trafford
Time
12:30 jioni
Leo tutachapa tutakanda wale arsenal vibaya sana
GGMUView attachment 3444021



Mapemaa tayari mshindi ashajulikana, niwahi kwa kanjibai fasta.Wasakana waonana ni vibwengo vya Wenger orphans dhidi ya watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha😁😁😁
My prediction
Manchester united 3 vs aserwali 1
Stadium 🏟️
Old Trafford
Time
12:30 jioni
Leo tutachapa tutakanda wale arsenal vibaya sana
GGMU👹View attachment 3444021
Kikosi ni kilekile Timu ni ileile Tabu iko palepale bado Man U sio timu ya Ushindani
Sesko alisajiliwa lini mpaka kashindwa kufunga pre season?Kikosi ni kilekile Timu ni ileile Tabu iko palepale bado Man U sio timu ya Ushindani
Pre season huyu cunha,Sesko wala huyu pipa lenye kilo Mia Mbeuno halijafunga goli hata la offside kazi ipo
Labda Kuna mabadiliko lakini kikosi sijafurahia kwa kweli
Mkae kwa kutuliaLabda Kuna mabadiliko lakini kikosi sijafurahia kwa kweli