Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_IMG_1754499768789.jpg
 
Nadhani hujasoma vizuri au hujaelewa nilichoandika, usajili wa msumu huu wa utd umekwenda kutibu tatizo lililoisunbua timu toka Sir Ferg aondoke. Tumekuwa hatufungi magoli zaidi ya 50 kwa msimu. Msimu huu tumesajili wachezaji wenye uwezo wa kufunga zaidi ya magoli kumi kwa msimu n kutoa asist na pia ni mafundi na wawili wametoka EPL hivyo hata huyu Sesko hawezi kuwa na pressure kivile sababu wafungaji wengine wapo tofauti na Hodjlind ambaye mzigo alibebeshwa yeye. Kwa nafasi ambazo utd wametengeneza msimu uliopita chini ya Amorim kama zikitokea kipindi hiki chini ya huyu Sesko naamini watu watalia.
Shida inakuja kuwa hivi huyo cunha Huna uhakika Kama kiwango chake cha msimu uliopita ataleta msimu huu mpya kwa mbeumo yule ni mzuri ana consistency bado mnavuja katikati ya uwanja nyuma pia hamko vizuri pia hata muundo wa uchezaji wenu hauwafanyi muwe solid na ndio maana ninawaambia msiwe na matarajio makubwa mkaja kupigwa na kitu kizito mligeuze hili jukwaa lenu liwe uwanja wa kutokana matusi
 
Shida inakuja kuwa hivi huyo cunha Huna uhakika Kama kiwango chake cha msimu uliopita ataleta msimu huu mpya kwa mbeumo yule ni mzuri ana consistency bado mnavuja katikati ya uwanja nyuma pia hamko vizuri pia hata muundo wa uchezaji wenu hauwafanyi muwe solid na ndio maana ninawaambia msiwe na matarajio makubwa mkaja kupigwa na kitu kizito mligeuze hili jukwaa lenu liwe uwanja wa kutokana matusi
Nyie ambao mpo vizr katikakati mmechukua makombe mangapi msimu uliopita?
 
Back
Top Bottom