King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 2,068
- 5,280
Kipa tumchukue Gianluigi Donnarumma.
Wanavuta bangi balaa.Sio timu ni kikundi cha waimba Reggae, sio umeona mwenyewe first eleven yote ni marastafarians. View attachment 3420040
Naona sir Jim Ratcliffe(INEOS) na The glazzers family mwanzoni waliweka mtego kwa kuonesha timu haina hela na kujivuta sana kwenye usajili kumbe wana Lao jambo.


Kwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi. Unauhakika Gani na huyu mtusubiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwa


Hata kama ni matapeli ila hawajawafikia nyie Chelkenge.Ila flanoKwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi.
Kudai timu haina hela wakati miezi mitatu iliyopita mashabiki walivyoanza kuchachamaa na kutaka Glazzers waachie timu, wao walikuja na plan ya kujenga uwanja mpya ili kupoza hasira za mashabiki, wakatuwekea mpaka mapichapicha ya muonekano wa uwanja jinsi utakavyokua, halafu leo wadai kua timu haina hela?
Kwa hio huo uwanja waliotaka kujenga wangeujenga kwa matakor yao?


Dah sio poa sijui liverkusen wameona nini kwake mpaka wakamchukua au ni FA na Carabao cup.King faisal
View attachment 3435885
10hag ni mngese tu ...mshenz mkubwa yule alituharibia timu...shenzi kabisa
Yeye si ndio alimuondoa huyo mchezaji ?Dah sio poa sijui liverkusen wameona nini kwake mpaka wakamchukua au ni FA na Carabao cup.
Uwanja haujengwi Kwa cash, ni letters of creditKwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi.
Kudai timu haina hela wakati miezi mitatu iliyopita mashabiki walivyoanza kuchachamaa na kutaka Glazzers waachie timu, wao walikuja na plan ya kujenga uwanja mpya ili kupoza hasira za mashabiki, wakatuwekea mpaka mapichapicha ya muonekano wa uwanja jinsi utakavyokua, halafu leo wadai kua timu haina hela?
Kwa hio huo uwanja waliotaka kujenga wangeujenga kwa matakor yao?
According to fabrizio Romano dogo baleba yeye hana shida yupo open lakini pia yupo na nidhamu kubwa kwa club yake wala hawezi kufanya migomo yoyote ya kususa kama isak kwa Newcastle.Kwani msimamo wa Baleba ukoje kuhusu chama la dunia hadi sasa kwa wale wafuatiliaji wa mambo kama akina Samuel Luckhurst?