Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1000488297.jpg


Majirani tafuteni kipa, hatutaki lawama msimu huu
 
Ndio hivyo mkuu, hizo ni gharama za kuvunja mkataba wake... Mchezaji huwa ananufaika na mshahara na bonasi tu kutoka kwenye klabu yake, labda akipata na matangazo ya kibiashara... Akiuzwa hapati hata mia.
Ooh ok...nimependa mentality ya recruiting team kwa Sasa...kijana alikubali hata apunguze mshahara aje kwenye timu...nafikir huko tunakokwenda itakua hivyo...uipende timu kwanza ...
 
Kocha itabidi mfumo wa 3:4:2:1 ukikataa ajaribu mwingine.
Maana mfumo wake bila viungo mahiri ni mgumu sana.

Baleba atatufaa sana na Martinez au donaruma nahisi kuna mmoja anakuja united
Kama Martinez tayari ameanga Aston villa.
Good day perhaps is coming
 
Rivals muda wa kurudishiwa chenji umefika... wa kwanza atakuwa Arsenal, tunaomba utaratibu uzingatiwe hapo mchakato utakapoanza mapema mwezi huu pale matofali ya kuchoma.

Šeškooooooooo!!!
Unauhakika Gani na huyu mtu😂 subiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwa
 
€76.5 + 8.5 m potential kwa Benjamin,,,,,,,,,,what a bargain kwa soko la strikers,,,,,,,

Mkumbuke Arsenal walienda na €90m wakaambiwa no, na mchezaji hakuwataka, sisi tumeenda na pungufu, mchezaji kakubali plus club!

Pia Newcastle wali-bid juu yetu lakini mchezaji Aliwakataa na hatuna European football ⚽️,,,,,,


Baleba aje, pia na Gk ! Let's Amorim cook 🍳


Glory Glory Utd
 
Naona sir Jim Ratcliffe(INEOS) na The glazzers family mwanzoni waliweka mtego kwa kuonesha timu haina hela na kujivuta sana kwenye usajili kumbe wana Lao jambo.
Kwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi.
Kudai timu haina hela wakati miezi mitatu iliyopita mashabiki walivyoanza kuchachamaa na kutaka Glazzers waachie timu, wao walikuja na plan ya kujenga uwanja mpya ili kupoza hasira za mashabiki, wakatuwekea mpaka mapichapicha ya muonekano wa uwanja jinsi utakavyokua, halafu leo wadai kua timu haina hela?
Kwa hio huo uwanja waliotaka kujenga wangeujenga kwa matakor yao?
 
Back
Top Bottom