Yan beki zenu zipo vizuri? DaaahBado DM na golikipa halafu kitakachobaki ni kusubiri muunganiko🔥
Acha UTOTO.
Tarehe 17 ndio utajua nani anafanya utotoAcha UTOTO.
Kwaio mfano hapa mkuu hii pesa imeenda Leipzig..? Yote ...
Ooh ok...nimependa mentality ya recruiting team kwa Sasa...kijana alikubali hata apunguze mshahara aje kwenye timu...nafikir huko tunakokwenda itakua hivyo...uipende timu kwanza ...Ndio hivyo mkuu, hizo ni gharama za kuvunja mkataba wake... Mchezaji huwa ananufaika na mshahara na bonasi tu kutoka kwenye klabu yake, labda akipata na matangazo ya kibiashara... Akiuzwa hapati hata mia.
Na hiki ndio kitu positive kwenye timu yetu kwa sasa. Tunasajiri wachezaji wanaoipenda timu.Ooh ok...nimependa mentality ya recruiting team kwa Sasa...kijana alikubali hata apunguze mshahara aje kwenye timu...nafikir huko tunakokwenda itakua hivyo...uipende timu kwanza ...
Unauhakika Gani na huyu mtu😂 subiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwaRivals muda wa kurudishiwa chenji umefika... wa kwanza atakuwa Arsenal, tunaomba utaratibu uzingatiwe hapo mchakato utakapoanza mapema mwezi huu pale matofali ya kuchoma.
Šeškooooooooo!!!
Hatari sana....hakika kama alivyosema boss, good days are coming....
Wanavuta bangi balaa.Sio timu ni kikundi cha waimba Reggae, sio umeona mwenyewe first eleven yote ni marastafarians. View attachment 3420040
Naona sir Jim Ratcliffe(INEOS) na The glazzers family mwanzoni waliweka mtego kwa kuonesha timu haina hela na kujivuta sana kwenye usajili kumbe wana Lao jambo.


Kwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi.