Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1000481771.png


Mwamba Mbeumo🔥
 

Mkuu felakuti majibu yako nimeyatoa kwa chatgpt maana namie nikua sielewi kiundani kuhusu mikataba na usajili wa wachezaji na hizo adds on.

Chatgpt anasema 👇👇👇👇

[07/08, 01:27] Chat GPT: Swali zuri sana rafiki yangu — na lina utata kidogo kwa watu wengi. Hebu nikufafanulie kwa urahisi:

1. Mchezaji ambaye mkataba wake umeisha (Free Agent)
  • Hakuna ada ya uhamisho (transfer fee) inayolipwa kwa klabu aliyotoka, kwa sababu mchezaji si mali yao tena kisheria.
  • Lakini:
- Mchezaji anaweza kupewa “signing fee” kubwa (kama fidia) na timu mpya — hii ni pesa ya kumshawishi asaini bila klabu kulipa transfer fee.
- Mfano: Kylian Mbappé alipokuwa anaenda Real Madrid bure, alipewa signing bonus ya mamilioni.

2. Mchezaji bado yupo chini ya mkataba
  • Klabu mpya hulipa “transfer fee” kwa klabu ya zamani (hiyo ndiyo unayoona kama "€75 million").
  • Hiyo pesa yote huenda kwa klabu ya zamani, si kwa mchezaji.
  • Mchezaji mwenyewe hupata:
- Mshahara mpya (mara nyingi mkubwa zaidi),
- Signing bonus (malipo ya kusaini mkataba mpya),
- Add-ons binafsi kama bonuses kwa kufunga mabao, kushinda mataji, nk.

3. Add-ons (kwa upande wa klabu)
- Hizi ni malipo ya ziada ambayo klabu mpya hulipa kwa klabu ya zamani ikiwa masharti fulani yatatimia:
- Mfano: €5M zaidi kama mchezaji atafunga magoli 20,
- Au kama timu mpya itashinda Champions League akiwa kwenye kikosi.

Kwa hiyo, kwa mfano wako:
- Ile €75M huenda kwa klabu ya zamani,
[07/08, 01:27] Chat GPT: - Mchezaji hupewa mshahara, signing bonus, na bonuses nyingine binafsi.

Umeelewa sasa au kuna sehemu nikufafanulie zaidi?
Shukran Kwa ufafanuzi mujarab...
 
Ndio hivyo mkuu, hizo ni gharama za kuvunja mkataba wake... Mchezaji huwa ananufaika na mshahara na bonasi tu kutoka kwenye klabu yake, labda akipata na matangazo ya kibiashara... Akiuzwa hapati hata mia.
Ooh ok...nimependa mentality ya recruiting team kwa Sasa...kijana alikubali hata apunguze mshahara aje kwenye timu...nafikir huko tunakokwenda itakua hivyo...uipende timu kwanza ...
 
Kocha itabidi mfumo wa 3:4:2:1 ukikataa ajaribu mwingine.
Maana mfumo wake bila viungo mahiri ni mgumu sana.

Baleba atatufaa sana na Martinez au donaruma nahisi kuna mmoja anakuja united
Kama Martinez tayari ameanga Aston villa.
Good day perhaps is coming
 
Rivals muda wa kurudishiwa chenji umefika... wa kwanza atakuwa Arsenal, tunaomba utaratibu uzingatiwe hapo mchakato utakapoanza mapema mwezi huu pale matofali ya kuchoma.

Šeškooooooooo!!!
Unauhakika Gani na huyu mtu😂 subiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwa
 
€76.5 + 8.5 m potential kwa Benjamin,,,,,,,,,,what a bargain kwa soko la strikers,,,,,,,

Mkumbuke Arsenal walienda na €90m wakaambiwa no, na mchezaji hakuwataka, sisi tumeenda na pungufu, mchezaji kakubali plus club!

Pia Newcastle wali-bid juu yetu lakini mchezaji Aliwakataa na hatuna European football ⚽️,,,,,,


Baleba aje, pia na Gk ! Let's Amorim cook 🍳


Glory Glory Utd
 
Back
Top Bottom