Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah kweli management ya Manchester United ipo serious haitaki utani according to fabrizio tayari tushafanya contact na Brighton kuhusu kumsajili baleba. Lakin fabrizio anasema hii ni difficult sana maana bado Brighton hawataki kumwachia wanataka abakie katika msimu mpya unaonza wa EPL. Ngoja tuone kama tutapindua meza, ila hapo sidhani kama itakua chini ya £90m.
 
King faisal Kuna kitu nieleweshe kidogo mkuu..kuhusu hizi signing fees na add ons...

Mfano kama mchezaji timu aliyoko mkataba umeisha na anaitajika na timu nyingine , wakija kumsajili ndio unakuta amesajiliwa kwa labda euro 75 million , hivi zile hela inapewa timu aliyotoka ama anapewa mchezaji, na kama ni timu, mchezaji yeye anapata nini...ukiacha makubaliano binafsi ya mshahara ...
 
King faisal Kuna kitu nieleweshe kidogo mkuu..kuhusu hizi signing fees na add ons...

Mfano kama mchezaji timu aliyoko mkataba umeisha na anaitajika na timu nyingine , wakija kumsajili ndio unakuta amesajiliwa kwa labda euro 75 million , hivi zile hela inapewa timu aliyotoka ama anapewa mchezaji, na kama ni timu, mchezaji yeye anapata nini...ukiacha makubaliano binafsi ya mshahara ...
Mchezaji mkataba ukiisha na akisainiwa na klabu nyingine, club yake haipati hata mia... Makubaliano yanabaki kati yake na klabu mpya, signing fee yote inakuwa ya kwake. Klabu anayotoka mchezaji itanufaika iwapo watamuuza au kuwe na vipengele kwenye mkataba vinavyoinufaisha klabu endapo mchezaji ataondoka.
Refer; Mbappé, mzigo wote kutoka Madrid alikula yeye.
 
Nike sio wabunifu wazuri kwenye jezi tazama timu zote zinadhaminiwa na Nike wana matambara sio jezi zinazovutia kama puma au adidas. Hii comment nimeitoa kwa huyu kiongozi Irenga
Kwaiyo Adidas wanavyowavalisha sare nyie kwenu ndio wana ubunifu sio?? Hao tangu zamani muundo mmoja wanabadili rangi tuu na saiv wameamua kurudia vya zamani afu wote mnavalishwa ivyo ivyo kasoro rangi adidas saiv jezi zao mtu mnene havai juu panaaa chini tumboni nyembamba upuuzi mtupu bora puma na nike kuliko adidas
 

Attachments

  • FB_IMG_1754116898705.jpg
    FB_IMG_1754116898705.jpg
    76.2 KB · Views: 9
King faisal Kuna kitu nieleweshe kidogo mkuu..kuhusu hizi signing fees na add ons...

Mfano kama mchezaji timu aliyoko mkataba umeisha na anaitajika na timu nyingine , wakija kumsajili ndio unakuta amesajiliwa kwa labda euro 75 million , hivi zile hela inapewa timu aliyotoka ama anapewa mchezaji, na kama ni timu, mchezaji yeye anapata nini...ukiacha makubaliano binafsi ya mshahara ...
Mkuu felakuti majibu yako nimeyatoa kwa chatgpt maana namie nikua sielewi kiundani kuhusu mikataba na usajili wa wachezaji na hizo adds on.

Chatgpt anasema 👇👇👇👇

[07/08, 01:27] Chat GPT: Swali zuri sana rafiki yangu — na lina utata kidogo kwa watu wengi. Hebu nikufafanulie kwa urahisi:

1. Mchezaji ambaye mkataba wake umeisha (Free Agent)
  • Hakuna ada ya uhamisho (transfer fee) inayolipwa kwa klabu aliyotoka, kwa sababu mchezaji si mali yao tena kisheria.
  • Lakini:
- Mchezaji anaweza kupewa “signing fee” kubwa (kama fidia) na timu mpya — hii ni pesa ya kumshawishi asaini bila klabu kulipa transfer fee.
- Mfano: Kylian Mbappé alipokuwa anaenda Real Madrid bure, alipewa signing bonus ya mamilioni.

2. Mchezaji bado yupo chini ya mkataba
  • Klabu mpya hulipa “transfer fee” kwa klabu ya zamani (hiyo ndiyo unayoona kama "€75 million").
  • Hiyo pesa yote huenda kwa klabu ya zamani, si kwa mchezaji.
  • Mchezaji mwenyewe hupata:
- Mshahara mpya (mara nyingi mkubwa zaidi),
- Signing bonus (malipo ya kusaini mkataba mpya),
- Add-ons binafsi kama bonuses kwa kufunga mabao, kushinda mataji, nk.

3. Add-ons (kwa upande wa klabu)
- Hizi ni malipo ya ziada ambayo klabu mpya hulipa kwa klabu ya zamani ikiwa masharti fulani yatatimia:
- Mfano: €5M zaidi kama mchezaji atafunga magoli 20,
- Au kama timu mpya itashinda Champions League akiwa kwenye kikosi.

Kwa hiyo, kwa mfano wako:
- Ile €75M huenda kwa klabu ya zamani,
[07/08, 01:27] Chat GPT: - Mchezaji hupewa mshahara, signing bonus, na bonuses nyingine binafsi.

Umeelewa sasa au kuna sehemu nikufafanulie zaidi?
 
Kwaiyo Adidas wanavyowavalisha sare nyie kwenu ndio wana ubunifu sio?? Hao tangu zamani muundo mmoja wanabadili rangi tuu na saiv wameamua kurudia vya zamani afu wote mnavalishwa ivyo ivyo kasoro rangi adidas saiv jezi zao mtu mnene havai juu panaaa chini tumboni nyembamba upuuzi mtupu bora puma na nike kuliko adidas
Ukweli unauma Nike wanajezi mbaya bora hata Puma.
 
Hapa lazima tufanye tupate box to box (Defensive & Offensive awe vizuri), lazima awe na legs kweli kweli. Kinachohitajika ni Intensity, bila kiungo mwenye intensity kubwa itakuwa ngumu. Sijajua timu Iko na uhakika kiasi gani cha kupata kiungo Kwa muda huu mdogo uliobaki...Hii ni 3-4-2-1 bila intensity kali msimu huu ni hatari.
 
HERE WE GO
Manchester United agree deal to sign Benjamin Šeško from Leipzig!

Agreement club to club reached with RB Leipzig for €76.5m plus €8.5m add-ons, package worth €85m.

Šeško agreed terms until 2030 after he made clear on Tuesday that only wanted Man United, it's now reality.

THE SAGA IS OVER, SESKO IS RED.
1754576372223.jpg
 
Mchezaji mkataba ukiisha na akisainiwa na klabu nyingine, club yake haipati hata mia... Makubaliano yanabaki kati yake na klabu mpya, signing fee yote inakuwa ya kwake. Klabu anayotoka mchezaji itanufaika iwapo watamuuza au kuwe na vipengele kwenye mkataba vinavyoinufaisha klabu endapo mchezaji ataondoka.
Refer; Mbappé, mzigo wote kutoka Madrid alikula yeye.
Shukran mkuu kwa ufafanuzi...dah mbape alichukua pesa mingi...
 

Mkuu felakuti majibu yako nimeyatoa kwa chatgpt maana namie nikua sielewi kiundani kuhusu mikataba na usajili wa wachezaji na hizo adds on.

Chatgpt anasema 👇👇👇👇

[07/08, 01:27] Chat GPT: Swali zuri sana rafiki yangu — na lina utata kidogo kwa watu wengi. Hebu nikufafanulie kwa urahisi:

1. Mchezaji ambaye mkataba wake umeisha (Free Agent)
  • Hakuna ada ya uhamisho (transfer fee) inayolipwa kwa klabu aliyotoka, kwa sababu mchezaji si mali yao tena kisheria.
  • Lakini:
- Mchezaji anaweza kupewa “signing fee” kubwa (kama fidia) na timu mpya — hii ni pesa ya kumshawishi asaini bila klabu kulipa transfer fee.
- Mfano: Kylian Mbappé alipokuwa anaenda Real Madrid bure, alipewa signing bonus ya mamilioni.

2. Mchezaji bado yupo chini ya mkataba
  • Klabu mpya hulipa “transfer fee” kwa klabu ya zamani (hiyo ndiyo unayoona kama "€75 million").
  • Hiyo pesa yote huenda kwa klabu ya zamani, si kwa mchezaji.
  • Mchezaji mwenyewe hupata:
- Mshahara mpya (mara nyingi mkubwa zaidi),
- Signing bonus (malipo ya kusaini mkataba mpya),
- Add-ons binafsi kama bonuses kwa kufunga mabao, kushinda mataji, nk.

3. Add-ons (kwa upande wa klabu)
- Hizi ni malipo ya ziada ambayo klabu mpya hulipa kwa klabu ya zamani ikiwa masharti fulani yatatimia:
- Mfano: €5M zaidi kama mchezaji atafunga magoli 20,
- Au kama timu mpya itashinda Champions League akiwa kwenye kikosi.

Kwa hiyo, kwa mfano wako:
- Ile €75M huenda kwa klabu ya zamani,
[07/08, 01:27] Chat GPT: - Mchezaji hupewa mshahara, signing bonus, na bonuses nyingine binafsi.

Umeelewa sasa au kuna sehemu nikufafanulie zaidi?
Shukran Kwa ufafanuzi mujarab...
 
Back
Top Bottom