Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,897
- 7,526
King faisal mkuu unaona mtu kama xavi Simmons ...kwanini wachezaji wasiwe na msimamo kama huo..kwamba Mimi nataka niende timu flani baaas...
Sasa huyo sesko naona nae mjinga tu wiki mbili huna msimamo wa wapi uende naona mchezaji wa aina hio hatufai...aende zake huko castle lager pumbavu .. naungana na msimamo wa timu kwa Sasa kama huna mapenz na timu Kaa mbali kama unataka uje ucheze unasema sio kubembelezwa
Sasa huyo sesko naona nae mjinga tu wiki mbili huna msimamo wa wapi uende naona mchezaji wa aina hio hatufai...aende zake huko castle lager pumbavu .. naungana na msimamo wa timu kwa Sasa kama huna mapenz na timu Kaa mbali kama unataka uje ucheze unasema sio kubembelezwa