Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

King faisal mkuu unaona mtu kama xavi Simmons ...kwanini wachezaji wasiwe na msimamo kama huo..kwamba Mimi nataka niende timu flani baaas...
Sasa huyo sesko naona nae mjinga tu wiki mbili huna msimamo wa wapi uende naona mchezaji wa aina hio hatufai...aende zake huko castle lager pumbavu .. naungana na msimamo wa timu kwa Sasa kama huna mapenz na timu Kaa mbali kama unataka uje ucheze unasema sio kubembelezwa
 
King faisal mkuu unaona mtu kama xavi Simmons ...kwanini wachezaji wasiwe na msimamo kama huo..kwamba Mimi nataka niende timu flani baaas...
Sasa huyo sesko naona nae mjinga tu wiki mbili huna msimamo wa wapi uende naona mchezaji wa aina hio hatufai...aende zake huko castle lager pumbavu .. naungana na msimamo wa timu kwa Sasa kama huna mapenz na timu Kaa mbali kama unataka uje ucheze unasema sio kubembelezwa
Ingia uwanjani ucheze kama ni rahisi
 
King faisal mkuu unaona mtu kama xavi Simmons ...kwanini wachezaji wasiwe na msimamo kama huo..kwamba Mimi nataka niende timu flani baaas...
Sasa huyo sesko naona nae mjinga tu wiki mbili huna msimamo wa wapi uende naona mchezaji wa aina hio hatufai...aende zake huko castle lager pumbavu .. naungana na msimamo wa timu kwa Sasa kama huna mapenz na timu Kaa mbali kama unataka uje ucheze unasema sio kubembelezwa
Team haina project inayoeleweka ndio maana inakuwa ngumu sesko kufanya choice. Xavi Simons ana msimamo wa kuja Chelsea kwasababu anajua Nini anaenda kupata pale team ina ambition ya makombe lakini pia ina project nzuri ya kufanikiwa kwa muda mrefu. Tukija kwa Sesko kwa upande wangu ni mchezaji asiye jiamini hata kama project yenu haijamshawishi sana kwanini uchukue muda mrefu kwenye kufanya maamuzi as if Kama unatafuta mke wa kuoa
 
King faisal mkuu unaona mtu kama xavi Simmons ...kwanini wachezaji wasiwe na msimamo kama huo..kwamba Mimi nataka niende timu flani baaas...
Sasa huyo sesko naona nae mjinga tu wiki mbili huna msimamo wa wapi uende naona mchezaji wa aina hio hatufai...aende zake huko castle lager pumbavu .. naungana na msimamo wa timu kwa Sasa kama huna mapenz na timu Kaa mbali kama unataka uje ucheze unasema sio kubembelezwa
Mkuu felakuti ni kweli unachosema, sababu sesko ni kama sometimes ni childish. Ndioo maana Netflix arsenal walimtema sababu hakua akionyesha jitihada kutaka kuja kwao. Lakini Manchester United tunahitaji striker na sesko ndio yupo kwenye radar zetu, ni kweli kabisa kama kuongea na familia yake na watu wake wa karibu haikupaswa kuchukua mda sababu techonolojia pia ipo angekua ameshamaliza mapema hilo suala.

Leo Manchester United wamenikela sana kupeleka bid kwa lepzig ya £75m plus adds on ya 10m. Hapa wamefanya kama kumuonyesha sesko wanamtaka kwa vyovyote vile. Hii ni kosa wangesubiria mpaka akubali kuja kwetu, ninavyoona hali ikiendelea hivi ni bora wamteme tu sababu sesko ni mchezaji asiyejiamini na mda unazidi kwenda maana tunaanza ligi kwa kucheza na Netflix arsenal.
 
Dah ila Newcastle wanatia huruma sana, walimtaka delap na Joao pedro wote wakaichagua chelwowo. Wakamtaka Hugo ekitike akaenda liverfoolish. Hawakukata tamaa wakaja kwa mbeumo akaichagua Manchester United. Saivi tena wanabattle nasie kumchukua sesko dah ngoja tuone time will tell. Maana hili ni dirisha kubwa la usajili limekua gumu kwao.
 
Team haina project inayoeleweka ndio maana inakuwa ngumu sesko kufanya choice. Xavi Simons ana msimamo wa kuja Chelsea kwasababu anajua Nini anaenda kupata pale team ina ambition ya makombe lakini pia ina project nzuri ya kufanikiwa kwa muda mrefu. Tukija kwa Sesko kwa upande wangu ni mchezaji asiye jiamini hata kama project yenu haijamshawishi sana kwanini uchukue muda mrefu kwenye kufanya maamuzi as if Kama unatafuta mke wa kuoa
Ni kweli sesko ana kautoto.
 
Wazee mko serious SESKO ni usajili mzuri. Ila tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa MOUNT mashine ya assist kwa Sesko. Acheni ubahili basi
Sesko sio mzuri kivile, Kama mchezaji kwenye ligi Kama bundasliga anafunga goal 13 alafu wanatoa pound 80m timo Werner Katia kamba goal 25 angalia alivyokuja EPL Nini kimetokea
 
Best signing never seen before
Screenshot_2025-08-06-13-21-11-864_com.facebook.katana-edit.jpg
 
Utd ya msimu ujao inafaa kutazamwa. Inaquality players hasa kwenye safu ya ushambuliaji. Kwa sas tuhitaji keeper na kiungo mmoja then tutaheshimiana tu. Embu fikiria unafanyiwa msako na Mbeumo, Cuhna, Sesko, Bruno na Hamad na wote wana uwezo mkubwa wa kufunga unaponaje hapo? Utd haijawhi kuwa mbaya kivile misimu yote tatizo letu limekuwa kwa wafungaji ndio maana tunaishiaga goal difference negative msimu ujao kila idara itaimarika.
 
Back
Top Bottom