Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utd ya msimu ujao inafaa kutazamwa. Inaquality players hasa kwenye safu ya ushambuliaji. Kwa sas tuhitaji keeper na kiungo mmoja then tutaheshimiana tu. Embu fikiria unafanyiwa msako na Mbeumo, Cuhna, Sesko, Bruno na Hamad na wote wana uwezo mkubwa wa kufunga unaponaje hapo? Utd haijawhi kuwa mbaya kivile misimu yote tatizo letu limekuwa kwa wafungaji ndio maana tunaishiaga goal difference negative msimu ujao kila idara itaimarika.
Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
 
Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Nadhani hujasoma vizuri au hujaelewa nilichoandika, usajili wa msimu huu wa utd umekwenda kutibu tatizo lililoisumbua timu toka Sir Ferg aondoke. Tumekuwa hatufungi magoli zaidi ya 50 kwa msimu. Msimu huu tumesajili wachezaji wenye uwezo wa kufunga zaidi ya magoli kumi kwa msimu na kutoa asist na pia ni mafundi na wawili wametoka EPL hivyo hata huyu Sesko hawezi kuwa na pressure kivile sababu wafungaji wengine wapo tofauti na Hodjlind ambaye mzigo alibebeshwa yeye. Kwa nafasi ambazo utd wametengeneza msimu uliopita chini ya Amorim kama zikitokea kipindi hiki chini ya huyu Sesko naamini watu watalia.
 
Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Manchester United kuna vitu vingi wameangalia kwa sesko kubwa zaidi ni umri. Kusajili mchezaji ni pata potea anaweza kukupa output nzury au akaflop hiyo ni kawaida mfano hazard wenu wa Chelsea na yule wa Madrid ni tofauti kabisa lakini pia na kocha anachangia hilo kukingana na mfumo wake ambao unaweza kumkataa mchezaji.
 
Kumbuka mlitupa Sancho naakafanya vizuri Chelsea
Sancho hakusajiliwa na 10 hag bali alisajiliwa na ole guna solskjaer. Na hujui kuwa walikua na bifu na shaolin monk 10 hag. Nimechosema hapo ni kwamba 10 hag ni kocha aliyechangia pakubwa sana kuharibu club yetu kwa sajili nyingi mbovu ndio maana sancho kafanya vizuri kwenu.
 
1754489753037.jpg

King faisal hatimaye mkuu...😂😂😂 Wiki mbili nzima unawaza nini aisee ..
 
Sancho hakusajiliwa na 10 hag bali alisajiliwa na ole guna solskjaer. Na hujui kuwa walikua na bifu na shaolin monk 10 hag. Nimechosema hapo ni kwamba 10 hag ni kocha aliyechangia pakubwa sana kuharibu club yetu kwa sajili nyingi mbovu ndio maana sancho kafanya vizuri kwenu.
Yule mbwa na para lake sitakagi hata kuona picha yake ..
 
Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Hatujipi matumain mkuu...kweli sesko ni mchezaj wa kawaida ..ila ndio hivyo ametaka kuja kucheza kwetu kama vile victor alivyowaganda arsenal. Ngoja tuone ajitahidi kufunga hata goli 2 tu msimu mzima zinatosha ni milestone kwetu
 
Msijipe matumaini makubwa sana maana hata huyo Sesko ni wa kawaida ila mmetoa pesa nyingi yaani ligi nyepesi Kama bundasliga unafuga goal 13 alafu unamwita mshambuliaji tishio vipi kwenye ligi ngumu Kama EPL? Timo Werner Katia kamba goal 25 Nini kimetokea alivyokuja EPL mfano mzuri pia Kai harvert.
Dah aisee timo Werner alikuwa anafukuzana sana na Babu lewa magoli anafunga mpk 18 kwenye ligi siku ya kwanza anakutana na Brighton kwenye ligi akasema mabeki wa epl mbona warefu hv 😂
 
Back
Top Bottom