Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_IMG_1754062366038.jpg
 
View attachment 3426459
Sasa ni rasmi, Fabrizio kapost dakika chache zilizopita, na nilikua nasubiria fabrizio athibitishe tu na kafanya ivyo ivyo

Manchester United tunaandaa bid ya Sesko rasmi, na kama mjuavyo, dogo ameshakiri yeye ni UTD die hard fan

Zile assist za bruno, mbeumo, cunha na amad dogo ashindwe yeye tu
Ni dhahiri huyu tunampata na nirasmi sasa utd inaenda kuwa timu ya ushindani kwan shida kubwa ya utd ukiacha zile ndogo ndogo kama za kiungo na gosl keeper, ni kupachika magoli. Tumekuwa hatufungi magoli licha ya nafasi nyingi tunazotengeneza. Sasa usajili wa wakati huu utaleta magoli na assist za kutosha.
 
Ni dhahiri huyu tunampata na nirasmi sasa utd inaenda kuwa timu ya ushindani kwan shida kubwa ya utd ukiacha zile ndogo ndogo kama za kiungo na gosl keeper, ni kupachika magoli. Tumekuwa hatufungi magoli licha ya nafasi nyingi tunazotengeneza. Sasa usajili wa wakati huu utaleta magoli na assist za kutosha.
Flop Hilo hamna kitu hapo mchezaji anamuogopa Kai ni mchezaji huyo😂😂😂
 
Binafsi sitamani kabisa kuona wachezaji wenye majina makubwa wanasajiliwa msimu huu, haya majina makubwa hayajawahi kua na msaada wowote tangia kuondoka kwa Ferguson, msimu huu ningependa kuona Amorim anawaamini zaidi madogo na kuwapatia nafasi ya kutosha, na kama kuna umuhimu mkubwa wa kusajili mchezaji mwenye uzoefu basi tusisajili nje ya Epl na mchezaji mwenyewe atakaesajiliwa aoneshe nia ya dhati ya kuipenda timu kama ilivyokua kwa Brian Mbeumo.
Siamini kama timu haina pesa ya kusajili wachezaji wa bei ghali maana juzi tu matajiri walikuja na project ya kutaka kujenga uwanja mpya, ila ninaamini msimu huu management imejitathmini kwa kina na kuona ni kwa namna gani jinsi wao wenyewe wanavyochangia kurudisha nyuma maendeleo ya timu kwa sajili zao za gharama kubwa kwa malengo ya kibiashara zaidi kuliko kuboresha ufanisi wa club.
Sesko ana jina kubwa?
 
Sir Jim " tunajenga uwanja wa 100,000 attendance, hii itatupa mapato zaidi kwenye viingilio kuliko timu yoyote england na itafanya tuweze kusajili Kwa nguvu kubwa sokoni, hii mashabiki katika mwanzo wake hawawezi kuelewa lakini ni project ambayo italipa na sisemi inazuia sisi kusajili, hapana lakini inatupa njia ya nini tufanye."



Cunha na mbeumo...tupate striker, GK na middle Moja....top four uhakika....timu ipo vizuri, naamini project ya 2028 kuchukua EPL hii inalipa na viongozi mipango wanayo.
GK si huyo tunamtaka kwa mkopo...golikipa wa kimataifa unamtaka kwa mkopo ..haya...striker si ndio huyo sesko tunajivuta kama wenye mabusha Hadi Newcastle wameshatuma ofa na inaelekea kukubaliwa ...
 
GK si huyo tunamtaka kwa mkopo...golikipa wa kimataifa unamtaka kwa mkopo ..haya...striker si ndio huyo sesko tunajivuta kama wenye mabusha Hadi Newcastle wameshatuma ofa na inaelekea kukubaliwa ...
Sizani kama sesko ataenda Newcastle, kumbuka makubaliano na club. Ni tofauti kwenye kukubaliwa na mchezaji. Mwenye presha kubwa sana na mchezaji(sesko) ni Newcastle sababu ya Isak anayetaka kuondoka hivyo Newcastle wanataka striker kwa hali yoyote kabla EPL league haijaanza.

According to Fabrizio romano, ni kwamba Newcastle wamekataa ofa ya pound million 120, iliyopelekwa na Liverpool ili kumchukua isak. Kwahyo hapa utaona hata Liverpool pia wanaomba sesko aende Newcastle hii itasaidia wao kumpata isak. Tukirudi kwa man united ni kutokana na sera yake mpya ya usajili inayotaka mchezaji kuipenda club na hii amelisema hata Flano maana tumeona kwa mbeumo pia alivyowakataa Tottenham.

Ndio maana Manchester united, kupitia kwa director Christopher vivel ambaye alishafanya kazi na leipzig, wanafanya contact na mchezaji sesko pamoja na agent wake. kuhusu malengo ya club n.k na sesko amekubali kuchezea man united hata kama hatupo UEFA champions league. Lakini pia wameshafanya contact na leipzig na wako tayari pia kutoa pesa kwa leipzig. Lakini ambacho hawataki man united ni kuingia kwenye mtego wa Newcastle na leipzig kwa kutoa pesa kubwa kwa sesko.
Ndio maana wanamsubiria sesko ambaye amesema mda c mrefu atamake decisions baada ya kuongea na familia yake kuhusu future yake na club ipi ataenda kuchezea kati ya Newcastle na Manchester united.
 
Sizani kama sesko ataenda Newcastle, kumbuka makubaliano na club. Ni tofauti kwenye kukubaliwa na mchezaji. Mwenye presha kubwa sana na mchezaji(sesko) ni Newcastle sababu ya Isak anayetaka kuondoka hivyo Newcastle wanataka striker kwa hali yoyote kabla EPL league haijaanza.

According to Fabrizio romano, ni kwamba Newcastle wamekataa ofa ya pound million 120, iliyopelekwa na Liverpool ili kumchukua isak. Kwahyo hapa utaona hata Liverpool pia wanaomba sesko aende Newcastle hii itasaidia wao kumpata isak. Tukirudi kwa man united ni kutokana na sera yake mpya ya usajili inayotaka mchezaji kuipenda club na hii amelisema hata Flano maana tumeona kwa mbeumo pia alivyowakataa Tottenham.

Ndio maana Manchester united, kupitia kwa director Christopher vivel ambaye alishafanya kazi na leipzig, wanafanya contact na mchezaji sesko pamoja na agent wake. kuhusu malengo ya club n.k na sesko amekubali kuchezea man united hata kama hatupo UEFA champions league. Lakini pia wameshafanya contact na leipzig na wako tayari pia kutoa pesa kwa leipzig. Lakini ambacho hawataki man united ni kuingia kwenye mtego wa Newcastle na leipzig kwa kutoa pesa kubwa kwa sesko.
Ndio maana wanamsubiria sesko ambaye amesema mda c mrefu atamake decisions baada ya kuongea na familia yake kuhusu future yake na club ipi ataenda kuchezea kati ya Newcastle na Manchester united.
Dah mlolongo wote huu aise tunapitia magumu kweli kweli 😀🍺 Sasa familia ikisema nenda Newcastle itakuaje
 
Back
Top Bottom