Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliewanyima manure ubingwa 🤣😂
IMG-20250522-WA0000.jpg
 
Kombe lenu hili mmeshachukua mara nne mfululizo 😃😃

Kila mwaka mafanikio ni kupata nafasi ya UEFA

Kuchukua Aaah😃😃
Unacheza fainali.

Ili upate kombe unatakiwa kuifunga spurs.

And you fools bottled that.

Mtajulikana tu kama timu iliyoikabidhi kombe spurs.

Punda kabisa
 
Nyumbu utd imebaki story tu, hii timu ilifanya dhulma nyingi sana enzi za babu ma-big G sasa ni muda wa kulipa dhulma hizo dadadek! Na bado jiandaeni kushuka daraja kabisa msimu ujao(Mark my word)
Aamin, aamin, aamin fellow muslims tuseme aamin dua njema hii
 
Back
Top Bottom