Hajawanyima, ndo kazi yake huyo.Aliewanyima manure ubingwa 🤣😂
View attachment 3341548
Unacheza fainali.Kombe lenu hili mmeshachukua mara nne mfululizo 😃😃
Kila mwaka mafanikio ni kupata nafasi ya UEFA
Kuchukua Aaah😃😃
Rudi mapema.Daah! Kmk, bora nirudi kwa Albions.
Unamuuliza nani nyumbu?Nini kilifanya MOUNT aanze badala ya GARNACHO?
kubababake hii inaitwaje kitaalamu hii?Aliewanyima manure ubingwa
Aamin, aamin, aamin fellow muslims tuseme aamin dua njema hiiNyumbu utd imebaki story tu, hii timu ilifanya dhulma nyingi sana enzi za babu ma-big G sasa ni muda wa kulipa dhulma hizo dadadek! Na bado jiandaeni kushuka daraja kabisa msimu ujao(Mark my word)
Yule muarabu wa Qatar wasingemzingua jamaa alikua tayari kuwekeza na kufuta baadhi ya madeni,itafika sehemu hata Mainoo atauzwa ilikuweka vitabu sawa,timu haina hela kwahio lazima walipe mishahara mikubwa ili wachezaji waje bila hivyo ndio kua na magalasa tuHili timu limelogqa na aloliloga kafa