Gunacho ameyeyusha sana, tangu mwanzo ilipaswa Amad awe ameanza
Garnacho ni umakini anakosa, anakuwa na wenge lakin still ni mchezaji mzuriNasikia napoli na chelsea wanamtaka ganacho, ushauri wangu siku jamaa kama wataweka pesa nzuri man utd wapite nayo tu, pesa yake aletwe mchezaji killer mbele ya goli
rolls royce£52M looking like a bargain! 😍.
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶
𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
View attachment 3328531
Aletwe nani killer kuliko Garnacho ?Nasikia napoli na chelsea wanamtaka ganacho, ushauri wangu siku jamaa kama wataweka pesa nzuri man utd wapite nayo tu, pesa yake aletwe mchezaji killer mbele ya goli
Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?


Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.Poleni sana kwa vituko vyenu vya wait for next season.Punda kabisa
Asante ila punda kabisaPoleni sana kwa vituko vyenu vya wait for next season.
Nani anajali sasa, maana hatutakubali kufungwa mara ya 4 tena.Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?
Uwezo wa kumfunga Spars nyie hamna, siku hiyo mkifungwa chache goli 4.Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.
Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted.
Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....
Uwezo wa kumfunga Spars nyie hamna, siku hiyo mkifungwa chache goli 4.


Sawa sisi uwezo hatuna ila nyie mnao uwezo wa kuwafunga kina Masebene na Real Betis yake.Na bado fainali atajikata manyangaNaona 𝐑𝐀 alienda kung'aka Half Time plus kugawa makonde kwa anakina Garna Maana hiyo Bandage🤕🤔✘.View attachment 3328528