Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiangalia ukuta wetu, kiungo chetu na safu yetu ya ushambuliaji ukajilinganisha na Spurs, unashindwa kujua tutafanya lipi la maana kumzuia asichukue ubingwa wa Europa.
 
Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.

Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted.

Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....
Uwezo wa kumfunga Spars nyie hamna, siku hiyo mkifungwa chache goli 4.
 
Uwezo wa kumfunga Spars nyie hamna, siku hiyo mkifungwa chache goli 4.
Sawa sisi uwezo hatuna ila nyie mnao uwezo wa kuwafunga kina Masebene na Real Betis yake.
Kweli kenge ni kenge tu, na kusikia kwake ni hadi atokwe na damu.
images-6.jpg
 
Kusema kweli mie sikupenda kukutana na Spurs fainali, anatuonea sana mechi za hivi karibuni.
Na nikikumbuka kauli ya kocha wao Ange kuwa huwa anashinda vikombe kuanzia msimu wa pili, nakata tamaa na hiyo fainali.
Anyway, vyovyote itakavyokuwa, tumefurahi Arsenal hawachezi fainali ya UCL msimu huu.
Umeona kauli aliyotoa Ruben amorim, akiwa na paul Scholes old Trafford, baada ya mechi kuisha. Amesema kuingia fainali ya Europe na spurs siyo furaha kwake, bali furaha ni kuchukua kombe hilo kwa vyovyote vile. Haitakua na maana yoyote ile tusipo beba hilo kombe. Namie nina imani 100% spurs Anakufa hiyo 21 may pale estadio de san mames bilbao(spain).
 
Umeona kauli aliyotoa Ruben amorim, akiwa na paul Scholes old Trafford, baada ya mechi kuisha. Amesema kuingia fainali ya Europe na spurs siyo furaha kwake, bali furaha ni kuchukua kombe hilo kwa vyovyote vile. Haitakua na maana yoyote ile tusipo beba hilo kombe. Namie nina imani 100% spurs Anakufa hiyo 21 may pale estadio de san mames bilbao(spain).
Niliona ameingia ubaridi alipokuwa anaongelea fainal😁
 
Kusema kweli mie sikupenda kukutana na Spurs fainali, anatuonea sana mechi za hivi karibuni.
Na nikikumbuka kauli ya kocha wao Ange kuwa huwa anashinda vikombe kuanzia msimu wa pili, nakata tamaa na hiyo fainali.
Anyway, vyovyote itakavyokuwa, tumefurahi Arsenal hawachezi fainali ya UCL msimu huu.
Hawezi kutufunga Mara tano mfululizo, hawatakuwa na James Madison na Son
 
Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.

Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted.

Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....
Aisee hizi bangi 😂...ehee tia neno na kwa yule Rasta man mgogo dorgu?
 
Hii game West Ham washinde. Niliwatakia nyie mmalize nafasi ya 17, tena mpone kuwa 18 kwa goal difference tu, ili muwe na wakati mgumu wa kuponea chupuchupu kushuka daraja. Ila mmepona kwa points nyingi tu kuliko nilivyotaka lakini mpango mzima ni mmalize wa 17 halafu somehow pia mshinde Europa mje kule Champions League muwe mnagawa points 3 kwa kila mtayekutana nae.
 
Back
Top Bottom