Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unaambiwa Man U leo ndo wamecheza mchezo bora kwenye mashindano hayo 😂
 
Hatari sana, hahh tumeachiwa uwanja mzima tucheze sisi. Angle mjanja sanaa aisee. Kwa level tuliyonayo Angle yupo sahihi sana, Leo Spurs hawakukimbia hovyo kabisa yaani Kwa level zetu na spurs wao wamecheza kikubwa zaidi, laiti kama wangekuwa wanakimbia kama wanavyochezaga basi Kungekuwa na uwezekano mkubwa wa kufungana magoli mengi ambayo ingekuwa si nzuri Kwa mustakabali wa mchezo wa piga nikupige, hii mechi timu nzuri Spurs mapema tu anamalizwa.

Kama united hatua tuliyo nayo si nzuri, hatua hiyo si ya kimfumo bali hatua yetu ya kuwa na wachezaji Iko na Hali mbaya sanaaa, nadhani ni Bora liwe fundisho Kwa wale wote wanaodhani makombe ni kitu cha mzaha, terrible mistakes zilizofanyika ndizo zimetufikisha hapa, solution ni kuinuka Sasa hivi Ili basi tuendelee na mchakato lakini kwenye mifumo iliyo sahihi,, kukosa hili kombe ni mbaya sana lakini limetuondolea balaa la msimu ujao, nadhani Kwa upande Fulani ni vizuri tukakomaa na domestic races kwanza, tuna kesi na timu kama Bournemouth, N. Forest, Brighton, Bretford, Fulham, Wolves, C.Palace na wengine wenye kaliba hii, tumalizane na Hawa kabla ya BIG SIX.
 
Eh bhana eee kumbe hdi barua za mialiko mlituma bhana 😂

IMG-20250522-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom