Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 1,196
- 1,463
Nitakuwa hapa mpaka kesho muda kama huu
Hakuna watu wa soka pale kwenye management. Katikati ya msimu utaleta vipi kocha anaetumia mfumo tofauti kabisa na wachezaji waliopo..!Niwe mkweli tu kitendo cha kumtoa rvn kwenye ukocha na kumpa huyu amorin iliharibu kila kitu
Huna unachokijuaFukuza tu huyo kocha na tarehe 25 simba tunabeba ndoo
Huoni mtu akikatiza,Nitakuwa hapa mpaka kesho muda kama huu
Huna unachokijua.Niwe mkweli tu kitendo cha kumtoa rvn kwenye ukocha na kumpa huyu amorin iliharibu kila kitu
You tooPunda kabisa
Karibu Champions League mzee wa kua na successful campaign kuliko Arsenal.
Mount MuingerezaNini kilifanya MOUNT aanze badala ya GARNACHO?
Kombe lenu hili mmeshachukua mara nne mfululizo 😃😃Karibu Champions League mzee wa kua na successful campaign kuliko Arsenal.
Punda kabisa