Achana nao hao manyumbu. Kwanza ona jinsi mwanzo wanaandika wanachukua ubingwa halafu mwisho wanasema kufika au kutofika kwetu hakutowazuia kutobeba kombe...
Angalia Madrid walivyo urudi tena na hii hoja yako mfuHawa wachezaji ukimpata mtu km Ancelotti anawafanya CR7 shida ni watu wanaowaongoza,angalia Al Ahly wachezaji wao wa kawaida sn lakini makocha wao wanambinu sn zakushinda makombe
Huyo aondoke keshoTujipange kwa msimu ujao sasa.
Amorin ana mwaka mmoja tu wa kutuonyesha alichonacho, la sivyo aondoke pia.
Huyo dorgu walau hata bissaka🤣Ushabiki naweka pembeni, man u kwa bland yenu na mahitaji ya timu ambayo inataka kupambania ubingwa,
wachezeaji wafuatao (️) inabidi wawapishe
Tafuteni kocha
Punguzeni mdomo, kocha atakaekuja mumuache afanye kazi yakeView attachment 3341925
Nyumbu wanahitaji kufumua kikosi choteHuyo dorgu walau hata bissaka![]()
Tushuke niende likizo maana si kutesana huku.Tushuke tu daraja tukaanze upya
Tulia wewe unajua niniHuna unachokijua
Miaka 10 bila penalty Old Trafford stadiumNyumbu utd imebaki story tu, hii timu ilifanya dhulma nyingi sana enzi za babu ma-big G sasa ni muda wa kulipa dhulma hizo dadadek! Na bado jiandaeni kushuka daraja kabisa msimu ujao(Mark my word)
