Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
2.Manchester United ilihitaji kocha mwenye uwezo wa kujenga timu iliyokwisha kufa hawakuhitaji kocha anaetaka ubingwa na wachezaji wa gharama kubwaWakuu nisaidieni kunielewesha kimpira kidogo.
Kuhusu huyu kocha mpya wa manutd....
1. Manchester haijachukua muda Toka baada ya kumfukuza ten hag ,kumcheki jamaa na jamaa kuelewa ....
2. Huyu jamaa amekubali chap japo hatumfaham Sana na Hana jina kiivyo tofauti na wengi tulivyotarajia manutd ingechukua Makocha hao wakubwa labda
3. Amejiamini Nini kukubali Dili la mnutd maana watu saiv pale wanapaogopa ni kama Pana gundu .....lakini jamaa chap tu kakubali na mambo fresh swali ....Anajiamini Nini???
4. Nasikia alikua anawaniwa kama mrithi wa pep mara klopp mara Fc Barcelona pale kabla ya FLICK...., chelsea pia nk ila alikataa .......Swali : vipi mbona manutd walipomfata chap kakubali project ambayo Mimi naamini ni yamoto na ni kama Ina gundu sio poa ???????
Nitashukuru kwa Elimu.
Amorin ameikuta sporting ikiwa hoi na wanazaidi ya miaka 19 bila ubigwa wa ligi lkn kafanikiwa kuijenga na kuwa tishio
