Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizi ndoto zingine kwahyo nyie mkiwa mnashinda na wao ambao wapo top 4 wazubae wapoteze km mechi 3 mfululizo? 😂😂...swala la top 4 lisahauni kabisa
Kila mtu ashinde mechi zake nyie mashabiki wa Arsenal mmezoea kujifariji na top 4 na hukuna chenye mnaenda fanya huko uefa, ni bora mrudi kwenye nafasi zenu mlizozoea enzi za mzee Wenger. Kocha mpya wa Man u hawezi kucheza misimu saba kama Arteta bila kuchukua ligi achilia mbali vikombe vya sungura ambavyo mpaka sasa Arteta hana. Kwa ushauri tu tafuteni kocha wa kueleweka maana hayo makombara yenu ya ballistic Arteta keshayatafutia ufumbuzi wa kuyalipua juu kwa juu kabla hajamfikia
 
Shusha link mzee wa phase 5.
Wahuni wamezima saa 1 kamili
ebwana nilikua sipo online ruka na hii
 
Kwa huu mpira hata kama ni kocha wa mpito unashindwa kujua hawa wachezaji wa United wanashindwaje kufanya vitu basic kabisa uwanja wakiwa na mpira na bila mpira!
 
Nimeangalia msimamo wa ligi baada ya mechi, naweza kubashiri kwa 99.9% kwamba zile timu zote zilizoko top 10 hakuna ambayo tutaishusha/kuifunga comfortably.

Amorin and kazi ya kufanya sio ya kitoto.
 
Huyu Ugarte kuna wasiwasi leo atakula umeme. Yellow card ya pili inamnyemelea.
Baada ya njano amejitahidi sana kucheza kwa umakini, ni mchezaji mzuri sana, sijui ni kwanini yule mjinga alikuwa anamuweka bench.

Garnacho anatakiwa afundishwe kufanya maamuzi uwanjani, ana ubinafsi wa kijinga sana.

Zirkizee sioni kama ana nafasi EPL.
 
Kule mbele kumtegemea Rashy na Zirkzee watupatie uhakika wa goli hata 10 tu kwa msimu ni ndoto. At least Hojlund anasumbuka sema tu upishi nao ni wa kuokoteza.
 
Nimeangalia msimamo wa ligi baada ya mechi, naweza kubashiri kwa 99.9% kwamba zile timu zote zilizoko top 10 hakuna ambayo tutaishusha/kuifunga comfortably.

Amorin and kazi ya kufanya sio ya kitoto.
Wachezaji wa utd ni kama hawajiamini kila wakishika mpira ni kama wanatetemeka na hawajui wapi pakupeleka wanahitaji mwanasaikolojia. Embu angalia jinsi Garnacho alivyopoteza nafasi leo unamlaumuje kocha. Hamad anapaswa kupewa nafasi angalau anaweza kudribble, kufinya, na kutoa pass.
 
Back
Top Bottom