Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kilichomfelisha kipara ni kuachana na falsafa zake na kuanza kutaka mafanikio ya haraka hapo tu ndo alikosea.Akaanza kucheza papatu papatu ili ashinde makombe ya mbuzi.
Kupata playing style ni msimu mmoja tu inatosha sana hata kama hatuchukui kombe progress ionekane.
Mnamkosea sana heshima jamaa, mashabiki wengi wa United alipotaka kuchza mfumo wake mlilalamika maana timu ilifungwa game mbili za mwanzo.

Msimu uliopita nusu ya timu ilikuwa injury ni msimu huu pekee timu imekuwa na machaguo mengi.
 
Kilichomfelisha kipara ni kuachana na falsafa zake na kuanza kutaka mafanikio ya haraka hapo tu ndo alikosea.Akaanza kucheza papatu papatu ili ashinde makombe ya mbuzi.
Kupata playing style ni msimu mmoja tu inatosha sana hata kama hatuchukui kombe progress ionekane.
Mnamkosea sana heshima jamaa, mashabiki wengi wa United alipotaka kuchza mfumo wake mlilalamika maana timu ilifungwa game mbili za mwanzo.

Msimu uliopita nusu ya timu ilikuwa injury ni msimu huu pekee timu imekuwa na machaguo mengi.
 
Kilichomfelisha kipara ni kuachana na falsafa zake na kuanza kutaka mafanikio ya haraka hapo tu ndo alikosea.Akaanza kucheza papatu papatu ili ashinde makombe ya mbuzi.
Kupata playing style ni msimu mmoja tu inatosha sana hata kama hatuchukui kombe progress ionekane.
Mnamkosea sana heshima jamaa, mashabiki wengi wa United alipotaka kuchza mfumo wake mlilalamika maana timu ilifungwa game mbili za mwanzo.

Msimu uliopita nusu ya timu ilikuwa injury ni msimu huu pekee timu imekuwa na machaguo mengi.
 
Siku nyingine tena ya kuwakutanisha ma Bwenyenye Sir Jim na Tody tajiri la kutajika ili.

Vijana wa bwenyenye Sir Jim barobaro boys vijana motomoto wale watatupa furaha sana leo.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁

My prediction

Manchester United 3 vs Chelsea 1

Time
1:30

Pigaaaaa
Uaaaaaaaa
chinjaaaaaaa
malizaaaaaaa
Goooooal garnacho wonderful goooal.
I'm test mic😁😁

Watapigwa sana wale watoto wa bwenyenye Tod.
1730624669651.jpg
 
Hapo kwenye back three ndipo kwenye utamu wenyewe, pia katikati Kuna utamu wake. 3-4-2-1 hivi ndivyo anavyo set mpango wake, kwahiyo Lisandro Martinez na Shaw watakuwa ni watu muhimu sana LCB (wasiwasi wangu ni majeraha, tunaweza kuingia sokoni hapa, utajikuta timu nzima ipo wodini na ndo kutukanana kutaanza hapa). Yoro nae atakuwa ni muhimu kama RCB kama tu akijaribiwa na kucheza na kuhimili EPL, namuona de light akiwa CB kiongozi (huyu anakuzubaa Fulani japo ni beki mzuri pia).

Najua tutalia na hizi winga, maana kwenye kuzuia lazima tusipungue wanne nyuma na tutakuwa watano tunazuia, majanga ni pale uko na ambush tena na timu zinazopenda kukimbia the likes of Madrid, Liverpool haha, halafu winga zako hazirudi zinatembea lazima utamtukana kocha.

Namuona dalot na mazroui au luke shaw wakiwa pembeni, kati najua ugarte anaweza kufit kwenye mfumo Kwa maana mfumo uko na favour kwake, mainoo anaweza akafit vizuri tu.

Watu watatu kule mbele wanamaliza, rasmus anaweza kuwa forward na akafit Kwa mfumo huo, kule CP Kuna yule mswideni amefit vizuri na huyu jamaa, wanafanana Kwa kiasi Fulani. Rashford au garnacho lazima mmoja atacheza na Bruno. Amad anaweza kucheza pia. Nategemea Kuna nyakati nyingi tu Bruno atakuwa deep sana.

Kwa 3-4-2-1 ndiyo mara nyingi huyu amorim hutumia (If akitua, japo chance ni kubwa), hutumia pia 3-4-3 na 3-5-2.

Binafsi nategemea watu watakimbia sana Kwa hii mifumo ya jamaa na nature ya ligi ya uingereza ilivyo. Uzuri ni kwamba Kuna msingi Fulani upo UTD unafanana na amorim. Sidhani kama wachezaji wavivu au wasiotekeleza majukumu Yao vizuri wataweza maana Kwa hizo back three kutobolewa magoli ni kunusa chap, ndio maana Kuna timu zilitaka kumchukua amorim Kwa sharti tu la kutokuanza na back three lakini alikataa na wakaachana nae. Lazima tuwe na watu wanaoeleweka la sivyo unatoboka mechi kibao Imagine goli walizotufunga spurs, liverpool na kama mnakatika Kwa mifumo ya back three unakula chuma zaidi ya zile.
Akijifanya kuja na back3 yake hapo england kitamlamba
 
Akijifanya kuja na back3 yake hapo england kitamlamba
Huyu atakuja na back three, ndivyo anavyocheza siku zote...lazima tuwe na watu watakaoweza kufit, sokoni lazima tuingie waje watu kweli kweli, imagine tulivyospend mihela kibao, Kuna potential zitaibuka UTD Kwa kuja Kwa huyu jamaa... Imagine back three yako ina Maguire na Evans.
 
Kwa jinsi ligi ilivyo hata timu ya 15 inaweza ingia top four maana ni point 7 had 10 tu mtu anajikuta top 4, maisha yanaenda kasi sana timu zinakata pumzi wakati sisi man u ndio kwanza timu inaenda changamka kwa ujio wa kocha mpya sidhani kama INEOS watavumilia mchezaji atayekwamisha mipango ya kocha waliemleta wao. Man u tukae mkao wa kula sasa ni zamu ya Arsenal kupandisha pressure na kushusha bila kusahau kurusha matusi aina ya makombora ya ballistic kwa kocha wao. Kulia kupokezana bwana.
Hizi ndoto zingine kwahyo nyie mkiwa mnashinda na wao ambao wapo top 4 wazubae wapoteze km mechi 3 mfululizo? 😂😂...swala la top 4 lisahauni kabisa
 
Hizi ndoto zingine kwahyo nyie mkiwa mnashinda na wao ambao wapo top 4 wazubae wapoteze km mechi 3 mfululizo? 😂😂...swala la top 4 lisahauni kabisa
Kila mtu ashinde mechi zake nyie mashabiki wa Arsenal mmezoea kujifariji na top 4 na hukuna chenye mnaenda fanya huko uefa, ni bora mrudi kwenye nafasi zenu mlizozoea enzi za mzee Wenger. Kocha mpya wa Man u hawezi kucheza misimu saba kama Arteta bila kuchukua ligi achilia mbali vikombe vya sungura ambavyo mpaka sasa Arteta hana. Kwa ushauri tu tafuteni kocha wa kueleweka maana hayo makombara yenu ya ballistic Arteta keshayatafutia ufumbuzi wa kuyalipua juu kwa juu kabla hajamfikia
 
Back
Top Bottom