Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siku Rashford akiondolewa United, nitafurahi sana kwa kweli.
Amorin akiwa anampanga regularly, nitajua naye hatakuwa na jipya kama akina EtH tu.
Eneo pekee ambalo naweza kusema tupo vizuri kwa kuangalia ubora na ufundi kwa mchezaji mmoja mmoja ni eneo la ulinzi.

Onana, mazroui, dalot, de ligt, maguire, martinez.

Wote hao wana uwezo wa kuwa sehemu ya kikosi cha kwanza kwa timu nyenginezo.

Shaw, lindelof ni wachezaji wa kuuzwa kama uongozi upo makini.

Kuanzia namba 6 kwenda juu ndipo chaos inapoanzia, ni vurugu, vurugu na vurugu kila siku.

Kuanzia namba 6 panahitaji kusafishwa bila ya huruma na bila ya kurejea makosa ya kiusajili yaliozoeleka kufanywa.

Ni aibu kuwa mpaka leo hii wachezaji wa maana tuliowasajili ni mazroui na martinez.

Aibu kwa fedha iliotumika.
 
Naomba mwenye kufahamu sifa za ziada za Ruben Amorim, atuwekee hapa

Kijana wa miaka 39 kaaminiwa timu kubwa
Kilichotokea ni kwamba,huyo ndio alikuwa mrithi wa klopp.
Matajiri wa Liverpool walitaka analysis ya makocha 8, waaangaliwe kwenye ubora wa kila kipengere kwa vipengere Vilivyowekwa nitakuletea article hiyo ilipostiwa na bbc.

Huyo mwamba alikuwa ana namba kubwa kumkaribia klopp,akawaacha mwenzake mbali sana.
Sasa Man U hawakutaka tena kuumiza kichwa maana Liverpool walisha muweka wazi ubora wake.
Tukiwa tuna jadiri vitu muwe mnapita kuchungulia mara moja moja huko kwenye majukwaa mengine kama jukwaa la Liverpool.

Issue ya Ruben tulishaijadili zamani sana wakati klopp anaondoka sasa tuanze kutafuta mafile tena duh.

Nikiipata hiyo article ya ubora wake nitaiweka.
 
Kilichotokea ni kwamba,huyo ndio alikuwa mrithi wa klopp.
Matajiri wa Liverpool walitaka analysis ya makocha 8, waaangaliwe kwenye ubora wa kila kipengere kwa vipengere Vilivyowekwa nitakuletea article hiyo ilipostiwa na bbc.

Huyo mwamba alikuwa ana namba kubwa kumkaribia klopp,akawaacha mwenzake mbali sana.
Sasa Man U hawakutaka tena kuumiza kichwa maana Liverpool walisha muweka wazi ubora wake.
Tukiwa tuna jadiri vitu muwe mnapita kuchungulia mara moja moja huko kwenye majukwaa mengine kama jukwaa la Liverpool.

Issue ya Ruben tulishaijadili zamani sana wakati klopp anaondoka sasa tuanze kutafuta mafile tena duh.

Nikiipata hiyo article ya ubora wake nitaiweka.
Je mnakumbuka mlisema kuwa kuna mwalimu alikuja hapo kwenu kamfundisha kloop na tuchel kilichomkuta mnakijua wenyewe
 
Bruno
1000220288.jpg

Unadhani ana lenga Washford au hiljiult
 

Attachments

  • 1000220288.jpg
    1000220288.jpg
    142.4 KB · Views: 21
Back
Top Bottom