Timu ya 14 dhidi ya timu ya 15Mbona leo mpira unaeleweka![]()
Ubaya ubwelaTimu ya 14 dhidi ya timu ya 15
Mfuniko na pipa
Pwagu na pwaguzi
Bashite na sabaya
Samia na ujinga
Uchawi na ulozi
Tumia ustaarabu mkuu sasa viongozi wanahusikaje kwenye mpira?Timu ya 14 dhidi ya timu ya 15
Mfuniko na pipa
Pwagu na pwaguzi
Bashite na sabaya
Samia na ujinga
Uchawi na ulozi
Nimemtaja kiongozi gan hapoTumia ustaarabu mkuu sasa viongozi wanahusikaje kwenye mpira?
Mwanzo unakuaga hivi hivi kwa kocha mpya baada ya hapo kila mtu ana shika njia zakeSasa ndio tumeanza msimu
GGMU
Sporting Cp na Man U wana urafiki wa muda mrefuWakuu nisaidieni kunielewesha kimpira kidogo.
Kuhusu huyu kocha mpya wa manutd....
1. Manchester haijachukua muda Toka baada ya kumfukuza ten hag ,kumcheki jamaa na jamaa kuelewa ....
2. Huyu jamaa amekubali chap japo hatumfaham Sana na Hana jina kiivyo tofauti na wengi tulivyotarajia manutd ingechukua Makocha hao wakubwa labda
3. Amejiamini Nini kukubali Dili la mnutd maana watu saiv pale wanapaogopa ni kama Pana gundu .....lakini jamaa chap tu kakubali na mambo fresh swali ....Anajiamini Nini???😁
4. Nasikia alikua anawaniwa kama mrithi wa pep mara klopp mara Fc Barcelona pale kabla ya FLICK...., chelsea pia nk ila alikataa .......Swali : vipi mbona manutd walipomfata chap kakubali project ambayo Mimi naamini ni yamoto na ni kama Ina gundu sio poa ???????
Nitashukuru kwa Elimu.
1.Manchester United walianza kumfatilia toka mwezi wa 4 mwaka huu na mazungumzo yalianza rasmi mwezi wa 7 mwishoniWakuu nisaidieni kunielewesha kimpira kidogo.
Kuhusu huyu kocha mpya wa manutd....
1. Manchester haijachukua muda Toka baada ya kumfukuza ten hag ,kumcheki jamaa na jamaa kuelewa ....
2. Huyu jamaa amekubali chap japo hatumfaham Sana na Hana jina kiivyo tofauti na wengi tulivyotarajia manutd ingechukua Makocha hao wakubwa labda
3. Amejiamini Nini kukubali Dili la mnutd maana watu saiv pale wanapaogopa ni kama Pana gundu .....lakini jamaa chap tu kakubali na mambo fresh swali ....Anajiamini Nini???
4. Nasikia alikua anawaniwa kama mrithi wa pep mara klopp mara Fc Barcelona pale kabla ya FLICK...., chelsea pia nk ila alikataa .......Swali : vipi mbona manutd walipomfata chap kakubali project ambayo Mimi naamini ni yamoto na ni kama Ina gundu sio poa ???????
Nitashukuru kwa Elimu.