Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2018, dhidi ya Cardiff Ole pia aliiongoza United kushinda 5. Hiyo ikiwa mechi yake ya kwanza kama Ruud jana.
 
Amorim will be leaving a club playing Champions League matches in London, Berlin & Paris to playing Conference League matches in Kazakhstan, Estonia, Romania, Nigeria, Uganda, Mali, Zambia, Togo & Ghana.
 
Hapo kwenye back three ndipo kwenye utamu wenyewe, pia katikati Kuna utamu wake. 3-4-2-1 hivi ndivyo anavyo set mpango wake, kwahiyo Lisandro Martinez na Shaw watakuwa ni watu muhimu sana LCB (wasiwasi wangu ni majeraha, tunaweza kuingia sokoni hapa, utajikuta timu nzima ipo wodini na ndo kutukanana kutaanza hapa). Yoro nae atakuwa ni muhimu kama RCB kama tu akijaribiwa na kucheza na kuhimili EPL, namuona de light akiwa CB kiongozi (huyu anakuzubaa Fulani japo ni beki mzuri pia).

Najua tutalia na hizi winga, maana kwenye kuzuia lazima tusipungue wanne nyuma na tutakuwa watano tunazuia, majanga ni pale uko na ambush tena na timu zinazopenda kukimbia the likes of Madrid, Liverpool haha, halafu winga zako hazirudi zinatembea lazima utamtukana kocha.

Namuona dalot na mazroui au luke shaw wakiwa pembeni, kati najua ugarte anaweza kufit kwenye mfumo Kwa maana mfumo uko na favour kwake, mainoo anaweza akafit vizuri tu.

Watu watatu kule mbele wanamaliza, rasmus anaweza kuwa forward na akafit Kwa mfumo huo, kule CP Kuna yule mswideni amefit vizuri na huyu jamaa, wanafanana Kwa kiasi Fulani. Rashford au garnacho lazima mmoja atacheza na Bruno. Amad anaweza kucheza pia. Nategemea Kuna nyakati nyingi tu Bruno atakuwa deep sana.

Kwa 3-4-2-1 ndiyo mara nyingi huyu amorim hutumia (If akitua, japo chance ni kubwa), hutumia pia 3-4-3 na 3-5-2.

Binafsi nategemea watu watakimbia sana Kwa hii mifumo ya jamaa na nature ya ligi ya uingereza ilivyo. Uzuri ni kwamba Kuna msingi Fulani upo UTD unafanana na amorim. Sidhani kama wachezaji wavivu au wasiotekeleza majukumu Yao vizuri wataweza maana Kwa hizo back three kutobolewa magoli ni kunusa chap, ndio maana Kuna timu zilitaka kumchukua amorim Kwa sharti tu la kutokuanza na back three lakini alikataa na wakaachana nae. Lazima tuwe na watu wanaoeleweka la sivyo unatoboka mechi kibao Imagine goli walizotufunga spurs, liverpool na kama mnakatika Kwa mifumo ya back three unakula chuma zaidi ya zile.
 
Tayari huko
 

Attachments

  • Screenshot_20241101-151721.png
    Screenshot_20241101-151721.png
    947.7 KB · Views: 15
Huyu Rubèn A. apewe muda asafishe taka taka zote pamoja na aged players,,,, ! Misimu miwili inamtosha kuwa judged,,,, ! Sio kama kale kajamaa kashika bunduki kapo sijui msimu wa sita kanawadanya wafuasi wake wanaenda na phases,,,,,! Na msimu huu kanatoka kapa tena !
 
Wakuu nisaidieni kunielewesha kimpira kidogo.

Kuhusu huyu kocha mpya wa manutd....

1. Manchester haijachukua muda Toka baada ya kumfukuza ten hag ,kumcheki jamaa na jamaa kuelewa ....
2. Huyu jamaa amekubali chap japo hatumfaham Sana na Hana jina kiivyo tofauti na wengi tulivyotarajia manutd ingechukua Makocha hao wakubwa labda
3. Amejiamini Nini kukubali Dili la mnutd maana watu saiv pale wanapaogopa ni kama Pana gundu .....lakini jamaa chap tu kakubali na mambo fresh swali ....Anajiamini Nini???😁
4. Nasikia alikua anawaniwa kama mrithi wa pep mara klopp mara Fc Barcelona pale kabla ya FLICK...., chelsea pia nk ila alikataa .......Swali : vipi mbona manutd walipomfata chap kakubali project ambayo Mimi naamini ni yamoto na ni kama Ina gundu sio poa ???????

Nitashukuru kwa Elimu.
 
Wakuu nisaidieni kunielewesha kimpira kidogo.

Kuhusu huyu kocha mpya wa manutd....

1. Manchester haijachukua muda Toka baada ya kumfukuza ten hag ,kumcheki jamaa na jamaa kuelewa ....
2. Huyu jamaa amekubali chap japo hatumfaham Sana na Hana jina kiivyo tofauti na wengi tulivyotarajia manutd ingechukua Makocha hao wakubwa labda
3. Amejiamini Nini kukubali Dili la mnutd maana watu saiv pale wanapaogopa ni kama Pana gundu .....lakini jamaa chap tu kakubali na mambo fresh swali ....Anajiamini Nini???😁
4. Nasikia alikua anawaniwa kama mrithi wa pep mara klopp mara Fc Barcelona pale kabla ya FLICK...., chelsea pia nk ila alikataa .......Swali : vipi mbona manutd walipomfata chap kakubali project ambayo Mimi naamini ni yamoto na ni kama Ina gundu sio poa ???????

Nitashukuru kwa Elimu.
Sporting Cp na Man U wana urafiki wa muda mrefu
Mchezaji wa CP akitakiwa na Man U ni kugusa tuu
 
Wakuu nisaidieni kunielewesha kimpira kidogo.

Kuhusu huyu kocha mpya wa manutd....

1. Manchester haijachukua muda Toka baada ya kumfukuza ten hag ,kumcheki jamaa na jamaa kuelewa ....
2. Huyu jamaa amekubali chap japo hatumfaham Sana na Hana jina kiivyo tofauti na wengi tulivyotarajia manutd ingechukua Makocha hao wakubwa labda
3. Amejiamini Nini kukubali Dili la mnutd maana watu saiv pale wanapaogopa ni kama Pana gundu .....lakini jamaa chap tu kakubali na mambo fresh swali ....Anajiamini Nini???
4. Nasikia alikua anawaniwa kama mrithi wa pep mara klopp mara Fc Barcelona pale kabla ya FLICK...., chelsea pia nk ila alikataa .......Swali : vipi mbona manutd walipomfata chap kakubali project ambayo Mimi naamini ni yamoto na ni kama Ina gundu sio poa ???????

Nitashukuru kwa Elimu.
1.Manchester United walianza kumfatilia toka mwezi wa 4 mwaka huu na mazungumzo yalianza rasmi mwezi wa 7 mwishoni
 
Back
Top Bottom