El Tiger
Senior Member
- Aug 15, 2018
- 142
- 785
Xavi Hernandez na baadae Hans Flick wameirejesha kwa namna fulani heshima ya LA MASIA.
natamani siku moja kuiona United ikitamba ndani ya uwanja kupitia vijana wake.
Tupunguze woga, khofu na presha ya kutaka kurudi juu kwa haraka.
Hatimaye klabu inaishia kufanya sajili za kitapeli.
Kuna vijana mfano wa mantato benedito, bianchineri (sijui nimeandika sahihi), ibragimovic, lacey, amass na wengineo ambao wamekuwa wakiondolewa Kila mwaka kwa kukosa kuaminiwa.
Kilichowabeba Barcelona ni ile hali ya Kifedha wakaamua geukia Academy na imekuwa lulu
Wachezaji wao wengi tayari ni "Matured" Cassado, Balde, Fermin wote wana miaka 21, "Exceptional" ni wawili Lamine Yamal na Pau Cubarsi ambao kwa sasa wote miaka 17, + Watu wazima kwenye timu wanaonyesha ukomavu, Lewa, Raphinha na Inigo, ukija UTD kina Bruno, Rashy grafu zao hazieleweki zinapanda ama zinashuka ila hazina msaada
UTD na Spurs nI timu zenye project bora zaidi za vijana karibuni, U-18 ya UTD ina watoto wengi sana wa maana ambao wana uwezo wa kuja kuwa majina makubwa,
Shea Lacey na Ibragimov ni "Exceptional" ila majeraha yanaweza waharibia safari yao
UTD Academy Hajijatengeneza CB kwa muda sana ila Huyu bwana mdogo GODWILL KUKONKI anaweza kuja kuwa mali, Miaka 16, Mguu wa kushoto, nafasi LCB urefu tayari ft 6.5
Kwa sasa kama ni kuamini Project ya watoto Mwalimu UTD inaweza enda nae labda Amorim na Hoeness, ETH Pressure imeshakuwa kubwa kwake hajiamini wala haamini baadhi ya wachezaji so ni ngumu kwa baadhi ya watoto, Yeye na UTD haijafanikiwa INEOS wana Ubahili watataka leta kina Eden Terzik / Xavi