Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim kimeshuka kwenda kuangamiza wale hammers.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

West ham 1 vs Manchester United 4View attachment 3136458
Naona WAN-BISSAKA katufunza mpira. Hakuna ujinga aliofanya huyu kocha kama kumuuza Bisaka na McTominay.
 
Hii team kunahitajika overhaul, kocha na dead woods wote. Else wataendelea na poor performance muda wote
 
Naona WAN-BISSAKA katufunza mpira. Hakuna ujinga aliofanya huyu kocha kama kumuuza Bisaka na McTominay.
Na bado manyumbu nyie,kazi kubwabwaja midomo tu kwenye majukwaa ya watu lakini kushinda aahh,mnatepeta mpaka makalio
 
Nafasi ya 14
IMG_4079.jpeg
 
Back
Top Bottom