Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona bora timu wangemuachia tu Ruud van Nistelrooy tukapima kwanza upepo mpaka Christmas ili tujipange kutafuta kocha wa kueleweka, ila hawa wapuuzi wanaweza wasimlete hata huyo mreno wakatuletea Southgate au lile ndondocha la Chelsea(Graham Potter)View attachment 3138202
Man U wana mahusiano mazuri na ya muda mrefu sana na SL namuona jamaa akitua OT
 
After two seasons utaskia huyu akiitwa Mandevu and some funny funny names 😂😂😂
1730201054989.jpg
 
Sajili mbovu zaidi kwangu mimi naona ni lile galasa lenu mlilotupiga kwa £60m, halafu mbaya zaidi likapewa mpaka jezi ya heshima number 7.
Usajili wa Freemason ulikua ni daylight robbery, kwanza chezaji lenyewe kila likicheza mechi 2 lazima liende likakae MOI miezi mitatu, laana ya kutudhumulu hio pesa yetu haitawaacha salama kenge nyinyi. View attachment 3138174
Huyu ni mwamba sana akipona hamtojuta kumsajili..tuongezeeni hata pauni mil. 10 wakuu🤣
 
Naona bora timu wangemuachia tu Ruud van Nistelrooy tukapima kwanza upepo mpaka Christmas ili tujipange kutafuta kocha wa kueleweka, ila hawa wapuuzi wanaweza wasimlete hata huyo mreno Ruben Amorim wakatuletea Southgate au lile ndondocha la Chelsea(Graham Potter)View attachment 3138202

RvN angepita na ule ule upepo wa Ole, baada ya hapo wale "legends" wenzake wa zamani watake apate mkataba mpya, matokeo yakimwendea kombo wamgeuke timu ianze safari nyingine,

Kiukweli Mwalimu mpya anastahili na kwangu ilikuwa kati ya Ruben Amorim ama Sebastian hoeneß sababu ya umri wao, Ruud tayari ana miaka 48 na hata akiwa PSV sio kwamba alikuwa "Elite" kihivyoo

Amorim Tayari kuna wachezaji wa kufit mfumo wake, 3~4~3, anatumia zaidi winga kwenye back 3 yake tofauti na Alonso anayetumia AM's wawili kwenye 3~4~2~1 ambao pia Amorim huutumia baadhi ya michezo.
Licha msimu huu kawa mbovu sana nadhani kwenye back 3 atakuwa na ulinzi wa kutosha na sehemu ndogo ya kuzuia,
Hojlund na Maguire wanaweza kuwa wanufaika wakubwa wa huu mfumo.
ETH amekosa baadhi ya vitu ila baadhi ya maamuzi kafanya yataisadia sana UTD kwenda mbele!
 
Huyu nae apewe mechi kumi, haeleweki tunamtimua.
Yaan tuwe kama Madrid au Chelsea hakuna kuvumlia failure
 
Erik ten Hag agreed with the signings of the two young strikers, but every summer he also wanted an experienced striker. After Harry Kane as a target last year, Ten Hag felt in 2024 that Danny Welbeck would be an excellent reinforcement. His name was seriously discussed internally.
 
Back
Top Bottom