raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,503
- 35,686
Man U wana mahusiano mazuri na ya muda mrefu sana na SL namuona jamaa akitua OTNaona bora timu wangemuachia tu Ruud van Nistelrooy tukapima kwanza upepo mpaka Christmas ili tujipange kutafuta kocha wa kueleweka, ila hawa wapuuzi wanaweza wasimlete hata huyo mreno wakatuletea Southgate au lile ndondocha la Chelsea(Graham Potter)View attachment 3138202
