Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rasmus akapost kushangilia draw 😅😅

Mashabiki wanamind kwanini haombi msamaha badala yake anashangilia
 
Erik anakwambia
Subirini, msimu uliopita niliwaambia subirini hadi mwisho wa msimu. Si mmeona tukapata kombe?

Kinachoniacha hoi hilo kombe Arsenal tulilivyolibinafsisha wakadai halina umuhimu. Leo Erik Kichwa Ngumu kazi yake ni kulihubiri hilo kombe kila akiulizwa kwanini performance mbaya 😅

Nikiwa kama shabiki wa Arsenal nasema Erik aendelee.
Wewe msimu uliisha huna chochote ungeendelea tu kufunga bakuli lako Castr
 
Wewe msimu uliisha huna chochote ungeendelea tu kufunga bakuli lako Castr
Misimu kadhaa nyuma Arsenal tulimaliza nafasi ya nane ila tukaenda Europa kwakua tulishinda FA cup. Mlimaliza nafasi ya pili.

Mashabiki wa Arsenal (Ulaya siyo JF) wakasema Arsenal tuna msimu mzuri kuliko united kwakua tumeshinda FA na united haina msimu mzuri kwavile haijapata kombe ingawa imemaliza nafasi ya 2.

Ile ikaleta mvutano, mna shabiki wenu anaitwa Trey, akatengeneza meme kwaajili ya hiyo scenario. 4, 5 seasons later cards have been reversed only this time Arsenal tumeuanza msimu na kombe dhidi ya City, a season defeating almost everyone, kisha unakuja united unayefungwa na timu kutoka Denmark unajisifu una msimu mzuri?

Too bad anayewaongoza kwenye hii delusion ni kocha wenu. Guy learned you don't know shit about football so anagongelea tu kwenye FA trophy 😅😅 and you are all nodding in agreement.
 
Baada ya ups and downs na Pogba jamaa akarudi Juve halafu akasema duniani mashabiki wasiojua mpira ni wa united. Akafungiwa kujihusisha na mpira kwa miaka 4.

Jana wamepunguza hadi miezi 18 na kuanzia January mwakani ataweza kutrain na Juve na March akaanza kucheza ligi.

Otea mashabiki wa timu gani wanamtaka Pogba kwenye timu yao? 🤣🤣😅🤣😅🤣😅

Wanakwambia huyu na Maino wakikaa pamoja pale kati hakuna anayekatiza. Hua sielewi hawa watu wanatumia nini kufikiri, kwanza Pogba siyo mkabaji pili jinsi alivyoondoka ila hawasikii hawaoni 😅🤣😅🤣

Huku kocha anasema amenunua wachezaji vijana wengi hivyo inabidi wazoeane. Huyu kanunua wachezaji wengi kuliko chelsea ???🤣
 
Baada ya ups and downs na Pogba jamaa akarudi Juve halafu akasema duniani mashabiki wasiojua mpira ni wa united. Akafungiwa kujihusisha na mpira kwa miaka 4.

Jana wamepunguza hadi miezi 18 na kuanzia January mwakani ataweza kutrain na Juve na March akaanza kucheza ligi.

Otea mashabiki wa timu gani wanamtaka Pogba kwenye timu yao? 🤣🤣😅🤣😅🤣😅

Wanakwambia huyu na Maino wakikaa pamoja pale kati hakuna anayekatiza. Hua sielewi hawa watu wanatumia nini kufikiri, kwanza Pogba siyo mkabaji pili jinsi alivyoondoka ila hawasikii hawaoni 😅🤣😅🤣

Huku kocha anasema amenunua wachezaji vijana wengi hivyo inabidi wazoeane. Huyu kanunua wachezaji wengi kuliko chelsea ???🤣
Hasira zako ni nini kwa hawa jamaa? Au ni zile 8-2?
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim wanashuka leo hawa hapa twende nalo💪

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Villa 1 Vs Manchester united 3

Watapigwa sana wale.

Nikisepa watapigwa mnaitikia

Sana waleeee😲
20241006_134548.jpg
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim wanashuka leo hawa hapa twende nalo💪

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Villa 1 Vs Manchester united 3

Watapigwa sana wale.

Nikisepa watapigwa mnaitikia

Sana waleeee😲View attachment 3116832
Kwa backline hiyo naona Watkins leo anaenda kupiga hat trick
 
Watoto wa bwenyenye Sir Jim wanashuka leo hawa hapa twende nalo💪

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Villa 1 Vs Manchester united 3

Watapigwa sana wale.

Nikisepa watapigwa mnaitikia

Sana waleeee😲View attachment 3116832
Imebidi nije nimekumbuka vituko vyako

Leo mshinde nipo na nyie

ETH mitano tena
 
Erik anaenda na upepo.

Mchezaji anayemuokoa kibarua mechi inayofuata lazima apangwe 😅😅

Villa wameingia na low block. Wa kuifumua low block kwa nyumbu naona ni yule Amad, Garnacho watu wakishachoka miguu na Eriksen. Yule mlalamishi anazijaribu trivela huu mwaka wa saba hakuna inayozaa matunda sioni anawaokoaje na hilo haram football.

Hata hivyo Villa akiona mmezubaa hashindwi kuanza kumiliki yeye mpira.

Mpaka sasa Villa kafungwa na Arsenal tu. Mkikomaa mtakua wa pili
 
Back
Top Bottom