Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We will bounce back
20241006_192125.jpg
 
Positive things katika mechi ya leo kutoka kwa mwalimu

🔴 Erik ten Hag: “It’s the fourth clean sheet this season”.

“You can see we had very good organisation and togetherness”.

“There was good character and good spirit as a team. Determined, resilient”.
 
Nukta muhimu

1. Clean sheet

2. Very organised

3. Good character

4. Togetherness

5. Good spirit

6. Determination

7. Resilience

Tukutane baada ya international break, ndo wapinzani watajua kama hawajui
 
Hivi mnauhakika jamaa ni kocha kweli? Mbona kama mcheza muvi
 
Imebidi nije nimekumbuka vituko vyako

Leo mshinde nipo na nyie

ETH mitano tena
Karibu sana mkuu, binafsi nimefarijika sana kuona umerudi kwa Id yako ileile tuliyoizea.
Jambo la kwanza naomba nikupongeze, uwepo wako hua unachangamsha sana majukwaa ya sports hapa Jf.
Pili kukosekana kwako kulilifanya jukwaa la mayatima kukosa kabisa mvuto na amsha amsha ingawa timu kila siku inapata ushindi wa papatu papatu.
Jambo la 3 ni kukujulisha tu kama kila siku dua zako ni kumuombea kocha la makombe Baba Ubaya Ubwela afukuzwe basi andika maumivu, jana asubuhi kabla ya mechi na Villa body ya timu pamoja na tajiri mwembamba Sir James Arthur Ratcliffe walikua na kikao kizito sana, maamuzi ya pamoja yalikua kelele nyingi kwenye mitandao za kutaka Ten Hag atimuliwe zinatoka kwa mashabiki wa timu pinzani ya Utd kwa kuona Utd iko kwenye Right track na huko tunakoelekea Man Utd inaenda kua timu tishio zaidi duniani.
Baada ya kusikia tetesi kutoka timu kubwa mbalimbali kama vile Madrid, Munich, Psg, Barcelona na Ac Milan wanahitaji kwa udi na Uvumba huduma ya Sir Erik Ten Hag endapo ataondoka Utd, Body ya Manchester United imeona ni bora kumtayarishia Ten Hag mkataba wa maisha na kumshawishi kwa kumgea % ya hisa za timu ili aendelee kuitumika Manchester.
 
Karibu sana mkuu, binafsi nimefarijika sana kuona umerudi kwa Id yako ileile tuliyoizea.
Jambo la kwanza naomba nikupongeze, uwepo wako hua unachangamsha sana majukwaa ya sports hapa Jf.
Pili kukosekana kwako kulilifanya jukwaa la mayatima kukosa kabisa mvuto na amsha amsha ingawa timu kila siku inapata ushindi wa papatu papatu.
Jambo la 3 ni kukujulisha tu kama kila siku dua zako ni kumuombea kocha la makombe Baba Ubaya Ubwela afukuzwe basi andika maumivu, jana asubuhi kabla ya mechi na Villa body ya timu pamoja na tajiri mwembamba Sir James Arthur Ratcliffe walikua na kikao kizito sana, maamuzi ya pamoja yalikua kelele nyingi kwenye mitandao za kutaka Ten Hag atimuliwe zinatoka kwa mashabiki wa timu pinzani ya Utd kwa kuona Utd iko kwenye Right track na huko tunakoelekea Man Utd inaenda kua timu tishio zaidi duniani.
Baada ya kusikia tetesi kutoka timu kubwa mbalimbali kama vile Madrid, Munich, Psg, Barcelona na Ac Milan wanahitaji kwa udi na Uvumba huduma ya Sir Erik Ten Hag endapo ataondoka Utd, Body ya Manchester United imeona ni bora kumtayarishia Ten Hag mkataba wa maisha na kumshawishi kwa kumgea % ya hisa za timu ili aendelee kuitumika Manchester.
We msee😂😂😂
 
Kwa muda mrefu umekuwa ukisema Yen hag uwezo wake ni mdogo kufundisha la ya EPL. Binafsi nakuamini. Hawa watu wanaosema apewe muda zaidi huwa nashindwa kuwaelewa.

Ten Hag angefaa kuwa mwanasiasa na siyo kocha.
Yule chadema wangempata ingekuwa unyqma sana, hakosagi maneno,

Amepewa mic anakwambia tuna clean sheet 4 timu ipo vzr😂😂
 
Back
Top Bottom