Tuko na ten hag bega kwa bega mpk awashushe daraja Manunu🤠🤠🤠Za ndani zinasema ,wanaopiga kelele 7hag afukuzwe ni watu wa nje ,INEOS wanamuamini sana ,hii ni habari njema sana
Eti zakazakazi aka dotto magariDah! hamis amerudi naona kina flano wamekimbia
Tenihagi hana wachezaji unataka akacheze mwenyewe mkuu?Zakazakazi a.k.a Doto magari mlimtoa wapi huyu mchezaji?😂😂
ila Ten hug hapana kwakweli
Imebidi nije nimekumbuka vituko vyako
Leo mshinde nipo na nyie
ETH mitano tena


Karibu sana mkuu, binafsi nimefarijika sana kuona umerudi kwa Id yako ileile tuliyoizea. Kwa muda mrefu umekuwa ukisema Yen hag uwezo wake ni mdogo kufundisha la ya EPL. Binafsi nakuamini. Hawa watu wanaosema apewe muda zaidi huwa nashindwa kuwaelewa.We will bounce back View attachment 3117107
Ukiniweka Arteta hapa na ten hag...kidhati kabisa ya moyo wangu naenda na ten hag....michezaji ya Manunu ni mizito tu kufundishika...ila msela ni bonge la kochaHebu international break ipite tuendelee kupata comedy zenu
We msee😂😂😂Karibu sana mkuu, binafsi nimefarijika sana kuona umerudi kwa Id yako ileile tuliyoizea.
Jambo la kwanza naomba nikupongeze, uwepo wako hua unachangamsha sana majukwaa ya sports hapa Jf.
Pili kukosekana kwako kulilifanya jukwaa la mayatima kukosa kabisa mvuto na amsha amsha ingawa timu kila siku inapata ushindi wa papatu papatu.
Jambo la 3 ni kukujulisha tu kama kila siku dua zako ni kumuombea kocha la makombe Baba Ubaya Ubwela afukuzwe basi andika maumivu, jana asubuhi kabla ya mechi na Villa body ya timu pamoja na tajiri mwembamba Sir James Arthur Ratcliffe walikua na kikao kizito sana, maamuzi ya pamoja yalikua kelele nyingi kwenye mitandao za kutaka Ten Hag atimuliwe zinatoka kwa mashabiki wa timu pinzani ya Utd kwa kuona Utd iko kwenye Right track na huko tunakoelekea Man Utd inaenda kua timu tishio zaidi duniani.
Baada ya kusikia tetesi kutoka timu kubwa mbalimbali kama vile Madrid, Munich, Psg, Barcelona na Ac Milan wanahitaji kwa udi na Uvumba huduma ya Sir Erik Ten Hag endapo ataondoka Utd, Body ya Manchester United imeona ni bora kumtayarishia Ten Hag mkataba wa maisha na kumshawishi kwa kumgea % ya hisa za timu ili aendelee kuitumika Manchester.
Yule chadema wangempata ingekuwa unyqma sana, hakosagi maneno,Kwa muda mrefu umekuwa ukisema Yen hag uwezo wake ni mdogo kufundisha la ya EPL. Binafsi nakuamini. Hawa watu wanaosema apewe muda zaidi huwa nashindwa kuwaelewa.
Ten Hag angefaa kuwa mwanasiasa na siyo kocha.
Ili iwe nini?Natamani tuwe wa 18 as soon as possible