HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,622
- 7,011
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama ZidaneKabisa mkuu....mechi na Aston villa wakimuhoji atakuambia ila lile goli la garnacho alilowafunga arsenal lilikuwa halali...haikuwa offside kabisaš¤ š¤ š¤