mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Manchester United will have to pay Erik Ten Hag around £17.5M if they sack him.
And after tonight, it's clear Ten Hag wants that money ASAP.![]()


Manchester United will have to pay Erik Ten Hag around £17.5M if they sack him.
And after tonight, it's clear Ten Hag wants that money ASAP.![]()


Kama mashabiki wa arsenal, Ten hag bado tunamuhitaji SanaErik anakwambia
Subirini, msimu uliopita niliwaambia subirini hadi mwisho wa msimu. Si mmeona tukapata kombe?
Kinachoniacha hoi hilo kombe Arsenal tulilivyolibinafsisha wakadai halina umuhimu. Leo Erik Kichwa Ngumu kazi yake ni kulihubiri hilo kombe kila akiulizwa kwanini performance mbaya
Nikiwa kama shabiki wa Arsenal nasema Erik aendelee.
Wazee wa LIVESCORE.COMYaani hadi mtu mzima Pepe alisha sahau kushangilia goli nae katupia kambani doh
Wampe muda tuKama mashabiki wa arsenal, Ten hag bado tunamuhitaji Sana
Siwezi kukesha naangalia hii timu kwakweli 😃Wazee wa LIVESCORE.COM
Kwasasa kuwacheka manyuu ni kuwaonea tu. Kwanza hatuhitaji comedy uwanjani,wao wanachofanya ni comedy zileErik anakwambia
Subirini, msimu uliopita niliwaambia subirini hadi mwisho wa msimu. Si mmeona tukapata kombe?
Kinachoniacha hoi hilo kombe Arsenal tulilivyolibinafsisha wakadai halina umuhimu. Leo Erik Kichwa Ngumu kazi yake ni kulihubiri hilo kombe kila akiulizwa kwanini performance mbaya 😅
Nikiwa kama shabiki wa Arsenal nasema Erik aendelee.
Sijapenda kabisa hii droo. Porto wameniangusha kwa kweli.
Aisee...wampe mkataba mpaka 2044 tuwe tuna uhakika wa 6 points kutoka kwao kwa miaka 20 mfululizoMm nimeipenda....na mechi Yao ya Aston villa naomba apate draw au ashinde kabisa Ili ten hag aendelee kuwepo....napenda sana kufatilia press conference zake mzee yule
Kabisa mkuu....mechi na Aston villa wakimuhoji atakuambia ila lile goli la garnacho alilowafunga arsenal lilikuwa halali...haikuwa offside kabisa🤠🤠🤠Aisee...wampe mkataba mpaka 2044 tuwe tuna uhakika wa 6 points kutoka kwao kwa miaka 20 mfululizo
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama ZidaneKabisa mkuu....mechi na Aston villa wakimuhoji atakuambia ila lile goli la garnacho alilowafunga arsenal lilikuwa halali...haikuwa offside kabisa🤠🤠🤠
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama Zidane