Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Erik anakwambia
Subirini, msimu uliopita niliwaambia subirini hadi mwisho wa msimu. Si mmeona tukapata kombe?

Kinachoniacha hoi hilo kombe Arsenal tulilivyolibinafsisha wakadai halina umuhimu. Leo Erik Kichwa Ngumu kazi yake ni kulihubiri hilo kombe kila akiulizwa kwanini performance mbaya

Nikiwa kama shabiki wa Arsenal nasema Erik aendelee.
Kama mashabiki wa arsenal, Ten hag bado tunamuhitaji Sana
 
Tufocus na mechi inayofata

Jumapili, tar 06

Muda 1700

Venue OT

MANCHESTER VS BARNSLEY

I SAY TUNASHINDA 9-0
 
Erik anakwambia
Subirini, msimu uliopita niliwaambia subirini hadi mwisho wa msimu. Si mmeona tukapata kombe?

Kinachoniacha hoi hilo kombe Arsenal tulilivyolibinafsisha wakadai halina umuhimu. Leo Erik Kichwa Ngumu kazi yake ni kulihubiri hilo kombe kila akiulizwa kwanini performance mbaya 😅

Nikiwa kama shabiki wa Arsenal nasema Erik aendelee.
Kwasasa kuwacheka manyuu ni kuwaonea tu. Kwanza hatuhitaji comedy uwanjani,wao wanachofanya ni comedy zile
 
Mm nimeipenda....na mechi Yao ya Aston villa naomba apate draw au ashinde kabisa Ili ten hag aendelee kuwepo....napenda sana kufatilia press conference zake mzee yule
Aisee...wampe mkataba mpaka 2044 tuwe tuna uhakika wa 6 points kutoka kwao kwa miaka 20 mfululizo
 
Kabisa mkuu....mechi na Aston villa wakimuhoji atakuambia ila lile goli la garnacho alilowafunga arsenal lilikuwa halali...haikuwa offside kabisa🤠🤠🤠
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama Zidane
 
Kweli kabisa ni uhakika atasema hivyo maana haishi kutuwaza. Acha washinde hata 2-1( muhimu onana asipate clean sheet) tumsikie atasemaje kwa press na muhimu zaidi asifukuzwe kazi wakamleta mnyama kama Zidane
 
Back
Top Bottom