D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Msamehe tena, mbona awamu hii anajitahidiTafuteni kipa wa kueleweka
Msamehe tena, mbona awamu hii anajitahidiTafuteni kipa wa kueleweka
MAGUIREEEEEEEEEE.......3-3Huyu De Ligt tumepigwa...MAGUIRE wetu arudi tu.
Au siyo 😅Leo wako serious hawa jamaa
BF kuna muda apumzishwe, kila mechi wanampanga tu.Bruno 🚮🚮
Unadunda tu kwenye ardhi ya MolaHii timu Mimi nishaacha kushabikia na kuangalia mechi zake toka Kitambo , siamini siku hizi sijui hata sijui Man U huwa inacheza lini nashangaa naona watu kwenye status na hata ikifungwa nipo fresh siumii na kuiwazia kama Zamani.
Kuishabikia Man U nikutafuta mateso ya kujitakia tu.
Kuna Pepe mdogo anakichafua hatari yule Mzee alishastaafu soka.Yaani hadi mtu mzima Pepe alisha sahau kushangilia goli nae katupia kambani doh