Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,145
- 4,292
Kwan kocha si ndio ana pendekeza watu gani wasajiliweNilipomuona mechi ya Barnsley nilitikisa kichwa, tusipokuwa makini tutaendelea kuteseka.
Ni bora usisajili kama liverpool kuliko kusajili mchezaji asiyekuwa sahihi.
PSG wameongeza 10 million ya thamani ya UGARTE, wamemsajili joao Nevez
View attachment 3110501
😂😂😂😂😂😂😂Kwanini afukuzwe? Mbona hamumpendi Baba wa watu?
Hamjui kama ana familia inamtegemea? Watoto wake watakula wapi?
Baba ubaya Mitano tenaView attachment 3110459
HhahahahahahahWatoto wa bwenyenye Sir Jim hawa hapa.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁
My prediction
Man united 3 Vs Tottenham 1
watapigwa sana wale.