Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kikubwa ninachoshukuru Dictator Masingeli ame resigned mwenyewe, laiti angukua bado yupo madarakani sijui siku ya leo hili jukwaa lingekua kwenye hali gani.
Baba Ubaya hana ubaya na mtu, Kipara piga kazi baba hii ligi ni nyepesi tu kuliko hata Eredivisie, wasikutishe hawa chawa pro-max 'Eras can come to an end'
Wiki ijayo mnakutana na Anne Slot ball🤠🤠...majirani mna kibarua kizito sana....TAfuteni wachezaji wa kueleweka...
 
Kikubwa ninachoshukuru Dictator Masingeli ame resigned mwenyewe, laiti angukua bado yupo madarakani sijui siku ya leo hili jukwaa lingekua kwenye hali gani.
Baba Ubaya hana ubaya na mtu, Kipara piga kazi baba hii ligi ni nyepesi tu kuliko hata Eredivisie, wasikutishe hawa chawa pro-max 'Eras can come to an end'
Anausoma upepo, soon atatia maguu humu jf. Nawaambia mtaliona hili jukwaa chungu
 
Hamis yupo twitter, muandiko wa yule jamaa wa twitter na jina lake vinashabihiana na muandiko wa hamis wa humu ndani.
Sasa Kitumieni kipindi hiki kunenepa, very soon atarudi hili jukwaa litakua lake
 
Nyumbu sitawaambia Tena, tafuteni kipa wa kueleweka
IMG-20240824-WA0041.jpg
 
Mshaanza kuongea lugha tofauti...
Sancho, Antony, Ganacho, ni wachezaji wakuanza na si kuanzia bench.
Kiburi na ukaidi wa 10Hag ndio unaowagharimu.
Acha mkungutwe tu....
Huyo 10hag mwenyewe kajaza masalia ya wachezaji waliotoka ajax.
1. Onana
2. De lit
3 martinez
4. Zerkeez
5. Antony
6. Ericksen
Anafikiri hii pl ni sawa na ligi ya nethaland!!!
Mpigwe tu. No way
 
Baba ubaya anachokifanya ndio sisi tunapenda, so far ndio manager wangu Bora wa wiki hii

Bruno false 9

De light ndio sub ya magwaya. inachekesha Sana

Rashford anaanza starting 11 ganarcho yupo bench

Mount eti ni mchezaji wa man u, tena kapendekzwa na huyo huyo baba ubaya

Maino Ni mchezaji tegemezi wa man u. It's disgracing

Baba ubaya piga kazi, washabiki wa arsenal tupo nyuma yako
JamiiForums1313008168.jpg
 
Baba ubaya anachokifanya ndio sisi tunapenda, so far ndio manager wangu Bora wa wiki hii

Bruno false 9

De light ndio sub ya magwaya. inachekesha Sana

Rashford anaanza starting 11 ganarcho yupo bench

Mount eti ni mchezaji wa man u, tena kapendekzwa na huyo huyo baba ubaya

Maino Ni mchezaji tegemezi wa m fivean u. It's disgracing

Baba ubaya piga kazi, washabiki wa arsenal tupo nyuma yakoView attachment 3078564
Mi five again.
 
Back
Top Bottom