Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,677
Mi five again.Baba ubaya anachokifanya ndio sisi tunapenda, so far ndio manager wangu Bora wa wiki hii
Bruno false 9
De light ndio sub ya magwaya. inachekesha Sana
Rashford anaanza starting 11 ganarcho yupo bench
Mount eti ni mchezaji wa man u, tena kapendekzwa na huyo huyo baba ubaya
Maino Ni mchezaji tegemezi wa m fivean u. It's disgracing
Baba ubaya piga kazi, washabiki wa arsenal tupo nyuma yakoView attachment 3078564
