Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baba ubaya anachokifanya ndio sisi tunapenda, so far ndio manager wangu Bora wa wiki hii

Bruno false 9

De light ndio sub ya magwaya. inachekesha Sana

Rashford anaanza starting 11 ganarcho yupo bench

Mount eti ni mchezaji wa man u, tena kapendekzwa na huyo huyo baba ubaya

Maino Ni mchezaji tegemezi wa m fivean u. It's disgracing

Baba ubaya piga kazi, washabiki wa arsenal tupo nyuma yakoView attachment 3078564
Mi five again.
 
Mtoto anaondoka, bado baba yake
Screenshot_20240825-165039_Chrome.jpg
 
😅😅nashangaa nikiona nyumbu ana wacheka Chelsea waki sajiri bhna wakati bado mpo na vibabu Evans hadi leo
 
Anausoma upepo, soon atatia maguu humu jf. Nawaambia mtaliona hili jukwaa chungu
Mwamba afanye arudi tu kwa kweli, jamaa linajua sana kuchangamsha jukwaa, likianza kutusimanga unaweza kuhisi Masingeli ni mtoto wa Hadija kopa kakake na Zuchu.
Tokea amepotea jukwaa la Arsenyau limekosa kabisa mvuto, mwamba alikua analifanya jukwaa la Arsenyo linakimbiza kuliko majukwaa yote ya sport hapa Jf.
 
Dah! team yetu me hata sielewi inachofanya yani

Structure ya uongozi mpya hadi wakurugenzi wa ufundi cha ajabu sajili zinazokuja niza ten haag bado.

Tuna shida kubwa eneo la ufungaji unaleta Zirkizee as back up number9 kweli?

Team haina LB

Unaleta mazroui me hata sioni anachooffer mpaka sai zaidi ya sifa za bure anazopewa
 
Dah! team yetu me hata sielewi inachofanya yani

Structure ya uongozi mpya hadi wakurugenzi wa ufundi cha ajabu sajili zinazokuja niza ten haag bado.

Tuna shida kubwa eneo la ufungaji unaleta Zirkizee as back up number9 kweli?

Team haina LB

Unaleta mazroui me hata sioni anachooffer mpaka sai zaidi ya sifa za bure anazopewa
Average player yule
 
Dah! team yetu me hata sielewi inachofanya yani

Structure ya uongozi mpya hadi wakurugenzi wa ufundi cha ajabu sajili zinazokuja niza ten haag bado.

Tuna shida kubwa eneo la ufungaji unaleta Zirkizee as back up number9 kweli?

Team haina LB

Unaleta mazroui me hata sioni anachooffer mpaka sai zaidi ya sifa za bure anazopewa
Yani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.

Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
 
Yani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.

Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
Unaona hata team inavocheza yani hatutashinda giant hata mmoja
 
Yani mashabiki bwana tumepoteza game Moja tu mmeanza lawama mimi nasubiri mzunguko wa kwanza uishe ndo nitaanza kuongea.

Maana mpaka uongozi umeingia mpya umemuamini Ten 10 nakumpa mkataba mpya ila fans wa bongo mnavyo piga kelele hapa.
Me chi ya kwanza mlishinda kwa bahati, mechi ya pili ilikuwa droo mkazembea, kiujumla uchezaji sio mzuri na 10hag atakuwa kocha wa kwanza, wa pili au wa tatu kutimuliwa msimu huu kutimuliwa
 
Hii timu bado inajitafuta na inaonekana bado iko pale pale tu,inacheza na Bruno factor.
Siku jamaa akiwa out of form timu nzima inapoteana. Fikiria wenzetu city hawana hata haraka ya kumrudisha Rodri uwanjani na wanashinda kirahisi sana na style of play iko pale pale, ila sisi tumemrudisha mapema sana Bruno ambaye amecheza mechi nyingi sana msimu jana pamoja na euro.
Fatigue itamuua Bruno kwa ujinga wa Erik.
 
Back
Top Bottom