D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Vita yako dhidi ya Onana sijui itakwisha lini.Mna timu nzuri. Sema tafuteni kipa wa kueleweka. Hamna kipa.
Vita yako dhidi ya Onana sijui itakwisha lini.Mna timu nzuri. Sema tafuteni kipa wa kueleweka. Hamna kipa.
😀 😀
siku hazigandi bro.kiapara hata achukue mara nane ila furaha
yetu ni kuja hapo ot kuwapiga mbele ya wake zenu
afu tunaondoka kibabe,tunadunda tu
yametimiaHichi kikosi mnapigwa goli nyingi tu
Tusichaguliane matani. Likimtoka mtu limemtoka km ambavyo wewe linakutoka bila kujali limekaaje kwake.Chelkenge, Asenyani, Livakuku, Manyumbu ni sawa kiasi zaidi, yamekaa kiutani zaidi kuliko Asenyeto sijui livanyeto, chelk*nd* ambayo yamekaa kimatusi ya kijinga na kitoto...
Yan mnatafutiza furaha kwa mbinde sana... Polen nyie endeleeni na kombe lenu la 3 phase na inverted midfielder😀 😀
siku hazigandi bro.kiapara hata achukue mara nane ila furaha
yetu ni kuja hapo ot kuwapiga mbele ya wake zenu
afu tunaondoka kibabe,tunadunda tu
Hii habari kaandika Hamis 😂
Mje na kombe lenu la 3 phase tutawaonesha maajabu😂Hawa nyumbu wanaongea kama jumapili ni mwakani kumbe hiyo hapo tu. Siku yao i karibu na kichapo chao watakipokea tu.
Yan bado mna matumain hewaa... Angalia gemu za kipara alafu angalia za kwako 😂😂😂Yaani hawa waombe hivihivi tusibebe kombe ila tukilibeba...hili jukwaa mpk kufika mwzi wa nane watapata Tabu sana
Me naona Eze sio wa kucheza ile timu basi tuuCrystal Palace wanataka kutuibia tena kwa Oliseh kama walivyofanya kwa wan bissaka.
Kwahiyo mkuu unataka kusema Olise ni overrated?Crystal Palace wanataka kutuibia tena kwa Oliseh kama walivyofanya kwa wan bissaka.
Crystal Palace hakuna mchezaji wa timu kubwa ukiwasajili imekula kwako.Me naona Eze sio wa kucheza ile timu basi tuu
Olise na Anthony hawana tofauti yoyote kiuchezaji.Me naona Eze sio wa kucheza ile timu basi tuu
Ni overratedKwahiyo mkuu unataka kusema Olise ni overrated?
Vita yako dhidi ya Onana sijui itakwisha lini.
Sisi hatushindi kibahati....tunakudunda na mpira unachezewa...hata kipara kakiri...Sasa mjiandaeYan bado mna matumain hewaa... Angalia gemu za kipara alafu angalia za kwako 😂😂😂