Shida ya Arteta ana karoho fulani ka huruma...huwa akishaona mkono umetimia anaanza kutoa watu...ila j2 inatakiwa aache watu mpk mwsho ili tutoe demonstration moja matata sanambona naona kama vile kono haliwatoshii
hawa wa kupigwa hara 9
Wapigwe tu🤣Nyie ndio mnataka kuifunga AseNYETO?
Haya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara AsenyaniChelkenge
Duh aibu kubwa sijui mechi ijayo itakuwa vipi.
Hawa inatakiwa hata hyo uefa conference league wasiipate...yaani msimu ujao wabaki mulemule Uingereza wakizurura kama wenzao ChelseaHivi nafasi ya 8 si unaingia Uefa conference league?
Hawa inatakiwa hata hyo uefa conference league wasiipate...yaani msimu ujao wabaki mulemule Uingereza wakizurura kama wenzao Chelsea
huu ni utani wa mpira jombiiHaya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara Asenyani
watatia tu aibu wakienda huko.bora wabaki na historia....tulifika fainali kombe la faHivi nafasi ya 8 si unaingia Uefa conference league?
Haya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara Asenyani