whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,191
- 2,544
huu ni utani wa mpira jombiiHaya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara Asenyani
hao watu hawakukomaa kiakili
huu ni utani wa mpira jombiiHaya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara Asenyani
watatia tu aibu wakienda huko.bora wabaki na historia....tulifika fainali kombe la faHivi nafasi ya 8 si unaingia Uefa conference league?
Haya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara Asenyani
Anakuambia nyumbu ni timu inayocheza mpira wa kuburudisha halafu mandondocha ya humu unakuta yanajisifia. Wanaharamu punda kabisa
Hamna kujielezea.Chelkenge, Asenyani, Livakuku, Manyumbu ni sawa kiasi zaidi, yamekaa kiutani zaidi kuliko Asenyeto sijui livanyeto, chelk*nd* ambayo yamekaa kimatusi ya kijinga na kitoto...
Hamna kujielezea.
Haina kucheka na mukuda
na kwa mfano ikatokea city hata akadroo tuHapo bado una AseNYETO, Newcastle na Brighton alafu umalizie Man City