Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_1159.jpeg
 
Haya majina kuna watu walitakaga kulia kwenye jukwaa lenu. Kipindi hicho tunawaita Arsenyeto mara Asenyani

Chelkenge, Asenyani, Livakuku, Manyumbu ni sawa kiasi zaidi, yamekaa kiutani zaidi kuliko Asenyeto sijui livanyeto, chelk*nd* ambayo yamekaa kimatusi ya kijinga na kitoto...
 
Anakuambia nyumbu ni timu inayocheza mpira wa kuburudisha halafu mandondocha ya humu unakuta yanajisifia. Wanaharamu punda kabisa
 
Anakuambia nyumbu ni timu inayocheza mpira wa kuburudisha halafu mandondocha ya humu unakuta yanajisifia. Wanaharamu punda kabisa

Burudani murua kabisa kwetu wanaLondon na ligi kwa ujumla
 
Hapo bado una AseNYETO, Newcastle na Brighton alafu umalizie Man City
 
mambo ya kupita mbele ya vidume rijali ukiwa na khanga ilyolowa ni risk sana
ona sasa mlichofanywa na watoto wadogo, bao nne kavu, mnajisikiaje
kabla hamjapoa vizuri tar.12 hiyo hapo
nimepata taarifa ya ghafla kuwa odegaard,partey,rice na harvetz wanakula karanga sana sijui wamedhamiria kuwafanyaje ase
 
Fukuzeni huyo Kocha, 7 Hag ni Jasusi la Uholanzi katika klabu ya NYUMBU.
 
Yani Palace wanachezea juu kabisaaaa!!! Yani hata hawaogopi, yani wanakuja tu. Touches in books wanazo nyingi sana, yani Man U wako kama Underdog kwa Palace. Mchezaji mwenye kipaji amebaki ni Maino pekee tu.

Halafu Madrid wakishaona wachezaji wake wamechoka wanapiga Simu kwa viongozi wa Man U ili watoe Mapesa kuweza kuchukua hao wachezaji!!!. (Refer Casemiro & Varane- wala Pension). Then, Madrid wanatumia Pesa walizopata wanaleta wachezaji wapya kabisa wenye uwezo mkubwa.

Hawa kina- Rashford na wenzake wao ni kungojea miamala iingie kwenye account zao kwa ajili ya kula bata.. Halafu wachezaji mikataba yao ikiisha tu, wanajifanya wanajituma sana ili waongozewe mikataba ( Refer Dalot) then wakishapewa mikataba minono wanageuka kuwa mizigo ya Timu upya na kuwauza huwezi tena.

That's why Man U kumejaa wachezaji mizigo wasiouzika wala kununuliwa na timu yoyote. Ndio mana utakuta uongozi wa Timu kila mwaka unatoa majina ya wachezaji 10-12 ya watakaouzwa, lakini mpaka msimu unavyoanza utakuta bado wapo tu na na baadhi wameongewa mikataba mipya na minono kabisaaaa. So kuitwa jina la NYUMBU haliepukiki kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom