Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hmu Flano hutamuona kabisa na yale mapichapicha yake....wacha wachoshwe leo ili siku hyo ikifika sisi tuje kupiga marungu ya kichwa kabisa....hawa kwa wanavyocheza kono la nyani linawahusu siku hyo🤠🤠
mbona naona kama vile kono haliwatoshii
hawa wa kupigwa hata 9
 
20240506_233833.jpg
 
Hawa inatakiwa hata hyo uefa conference league wasiipate...yaani msimu ujao wabaki mulemule Uingereza wakizurura kama wenzao Chelsea

Acha waonje kuwa nje ya ulaya. Sisi tulimaliza wa 8 mara mbili mfululizo. Wanadhani tulipenda? Ila ndiyo kukuwa kwenyewe huko. Wacha wafunzwe na ulimwengu kama 7hag kashindwa kuwafunza.
 
Back
Top Bottom