whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
na mnavyojua kutupigia kelele kwenye majukwaa yetu
utadhani mmeshayamaliza matatizo yenu
utadhani mmeshayamaliza matatizo yenu
J2 wajipange kwakwli...lawama hatutakiEvans ni shati.
Hmu Flano hutamuona kabisa na yale mapichapicha yake....wacha wachoshwe leo ili siku hyo ikifika sisi tuje kupiga marungu ya kichwa kabisa....hawa kwa wanavyocheza kono la nyani linawahusu siku hyo🤠🤠mna siku 5 za kujiandaa vs gunners
kama ndo mnawategemea akina casemiro
msije lalama ben white eti kamvua mtu glove, lawama hatutaki
Anapakwa Kimbo aka Blue Band 😂😂😂Meshatani miekundu nao leo mk...u upo wazi mnaachia tu!
mbona naona kama vile kono haliwatoshiiHmu Flano hutamuona kabisa na yale mapichapicha yake....wacha wachoshwe leo ili siku hyo ikifika sisi tuje kupiga marungu ya kichwa kabisa....hawa kwa wanavyocheza kono la nyani linawahusu siku hyo🤠🤠
Hawa jumapili twende na Vaseline Jelly shehe...inaonekana hawana hiyana kabisa hawaJamani manyumbu na sisi tunataka kuwapiga si chini ya 4, msitubanie. Si mnaona jinsi dada zenu mamacita wanavyotembeza 5g ili kufukia GD yetu? Msiwaachie watupite kizembe jamani.