Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daaaaaaah Kwa pira hili!!!! Yani hii timu imebaki kucheza ili kukamilisha ratiba tu. Yani unashindwa kuelewa ni mfumo upi ambao hii timu inacheza? Ni kucheza tu ilimladi kukamilisha dakika tisini za mchezo mchezo. Yani Leo hii timu kubwa kama hii yenye heshima duniani kucheza mpira wa aina hii?.
Sometimes unaweza kusema kwamba hakuna wachezaji na unavyofikilia zaidi unaona hakuna Kocha kabisaa. Sasa mpaka sasa plani ya hii timu ni nini?.
 
Most big chances conceded by 'Big Six' sides in the Premier League in 2024:

◉ 34 - Man Utd
◎ 28 - Tottenham
◎ 25 - Liverpool
◎ 24 - Man City
◎ 22 - Chelsea
◎ 5 - Arsenal
 
We usually ahead of time, tuliliona hili hata kabla msimu hauja anza,

Vipi bado kuna watu wana imani na 7Hag?
 
Hata ten hag akifanikiwa pale man u(jambo ambalo haliwezekani) aina ya mpira anaofundisha ni mwepesi mno ukilinganisha na mbinu za makocha wa timu pinzani.

Ni kama uende vitani na gobole mwenzako aje na drone.

Nahitimisha kwa kusema ten hag atupishe tu
 
Kocha wenu siku hizi anakula vizibao kama dalali wa mtaa
IMG_20240414_143741_061.jpg
 
Back
Top Bottom