Wana bahati sana ila hawana madhara kwetu hata hiyo point moja inawafaa sana. Man utd itamaliza nafasi ya 8 msimu huu.Mwanzo walishikwa bahati yao
Imekuwa kama togwa la ngomani, kila mtu anadiba kisha anagida 🤣😂😂😂😂😂 Kila timu wanijipigia km mbwa koko
Imekuwa kama togwa la ngomani, kila mtu anadiba kisha anagida 🤣😂😂😂😂😂 Kila timu wanijipigia km mbwa koko
Bonge la straika hilo. Ukisema lolote la kumkosoa utashambuliwa na manyumbu.- Rasmus Hojlund hasn't ATTEMPTED a shot in the last FOUR Premier League games.
0 shots in 4 games.
Sina imani na wachezaji mpaka kocha
Makaveli ww mzaramo?? 😂😂😂😂Ime
Imekuwa kama togwa la ngomani, kila mtu anadiba kisha anagida 🤣😂😂
Nikiwa na MAGUIRE na KAMBWALA nina uhakika sana hapo nyuma.
Aahh.... Wapi. 😂🤣Makaveli ww mzaramo?? 😂😂😂😂