Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,850
makaveli10 Half american njooni tuwape moyo mashetani wekundu 😂😂😂😂
Haya na simba hayana tofauti 😂😂😂Lazima mlambwe leo hakuna namna
Hivi mnatumia vilevi wakati mnaangalia mechi zenu?Ni wale wale tena barobaro boys vijana wa Bwenyenye Sir Jim hawa wanashuka kugawa ile kichapo ya nguvu twende naloView attachment 2962525
Punda kabisaBruno Fernandezzzzz
1-1
Hiki kishakuwa ni kikundi cha ngoma,makaveli10 Half american njooni tuwape moyo mashetani wekundu 😂😂😂😂
😂😂😂 Kila timu wanijipigia km mbwa kokoHiki kishakuwa ni kikundi cha ngoma,
Man u wamekuwa kama mamung'unya yanaharibikia ukubwani😂🤣
Leo naona wanadrawmakaveli10 Half american njooni tuwape moyo mashetani wekundu 😂😂😂😂
Mwanzo walishikwa bahati yaoLeo naona wanadraw
Wana bahati sana ila hawana madhara kwetu hata hiyo point moja inawafaa sana. Man utd itamaliza nafasi ya 8 msimu huu.Mwanzo walishikwa bahati yao