Ndio fitna za kimpira hizo lazima tupate matokeoSoft penalty
Watoke tu 😄😄, Liverpool tunapiga tuMagoli ya kupewa kama haya ndio yanayowatoa wachezaji mchezoni
Nilikuja kuandika hapa. Garnacho anasababisha Liverpool wapunguze kupanda. Hakuna majeruhi na unaingoza unafanya sub ya nini?Hili likocha jinga sana aisee. Garnacho & Mainoo wametoka?
Magoli ya kupewa wapi wakati kwanza mmeshika ndani ya 18? Refa akawabeba?Penati itakuwa ya kiuonezi hii
Ulikua akilini mwangu mkuu.. Nimeshabikia hii timu kwa muda wa dk 90 tu lakini hiyo presha niliyoipata, najiuliza mnaoshabikia siku zote mnaishije?Timu hii ni hatari sana kushabikia hasa Kwa afya ya mwanadamu, ni hatari mno!. Unaweza kudhani kuwa wachezaji na benchi la ufundi wakitoka kucheza mechi wanakwenda kulala hawafanyi training tena Hadi mechi ijayo.
Pale hakuna timu, nimeangalia mechi nyingi za timu kama arsenal, real Madrid, B. Leverkusen kuliko hata timu yangu UTD, it's disgusting kabisa, wachezaji hawajitumi kabisa au ndo uwezo wao ulipoishia, pathetic...Ulikua akilini mwangu mkuu.. Nimeshabikia hii timu kwa muda wa dk 90 tu lakini hiyo presha niliyoipata, najiuliza mnaoshabikia siku zote mnaishije?
Timu inaacha mashimo kibao, kukaba kwenyewe kazi, wamejaa wachezaji mizigo timu nzima, angalau alipoingia Antony kajitahidi kidogo kukaba, otherwise timu yote ni mbovu.
Wajinga mmekaza bhana.
Hongereni aisee. Nilitegemea leo mpigwe si chini ya 4-0


Ni vile tu figisufigisu za marefa na VAR zao ndio zimetufikisha hapa tulipo, ila tusingekua tunadhulimiwa na waamuzi sasa hivi tungekua tunaongoza ligi

