Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,083
- 16,064
Ulikua akilini mwangu mkuu.. Nimeshabikia hii timu kwa muda wa dk 90 tu lakini hiyo presha niliyoipata, najiuliza mnaoshabikia siku zote mnaishije?Timu hii ni hatari sana kushabikia hasa Kwa afya ya mwanadamu, ni hatari mno!. Unaweza kudhani kuwa wachezaji na benchi la ufundi wakitoka kucheza mechi wanakwenda kulala hawafanyi training tena Hadi mechi ijayo.
Timu inaacha mashimo kibao, kukaba kwenyewe kazi, wamejaa wachezaji mizigo timu nzima, angalau alipoingia Antony kajitahidi kidogo kukaba, otherwise timu yote ni mbovu.


