Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Hata mimi simuamini naona kama ni mwalimu type ya Ten Hag wanategemea sana individual quality kuliko mfumoSijui kwanini simuamini zidane nje ya Madrid
Hata mimi simuamini naona kama ni mwalimu type ya Ten Hag wanategemea sana individual quality kuliko mfumoSijui kwanini simuamini zidane nje ya Madrid
Man United wafanye kama wamesinzia Ten Hag atawapa EPL haraka kuliko Arsenal na Arteta wao.Hii ilikuwa ferguson pekee anapiga hesabu hizi. Na akiwa dressing room anaweza vunja mtu ..ni upuuzi stricker unakuwa gorini na partner anakuwa kwenye nafasi eti unataka ushinde wewe. Fergi anakuua. David beckam muingereza maarufu alimbonda...akamuuza.
Anagalieni mechi za fergie mjiliwaze kama mimi.
Bado hata huyu tajiri atatupa hopeHII TIMU IMESHAKUFA.
Bado hapo Glazerz watoe 120m tukawachukue tonny kross na ModricMason Mount missing from United’s traveling squad due to injury.
-----
Hongereni chelsea kwa kutuuzia mtumishi hewa.
Balaa jingine timu ina centerback mmoja tuMason Mount missing from United’s traveling squad due to injury.
-----
Hongereni chelsea kwa kutuuzia mtumishi hewa.
Hiyo ndiyo imeongeza hamasa sasa, maana inakuwa kama derby, watakula 4 au 5.Hawa Coventry kwa mbali wamevaa Jezi Kama za Man-City, Man-U sasa wasiwaogope/wasitishike kwa uvaaji wa Jezi hizo.
Ten Hag kuna muda unakosa hata cha kumtetea, hizi perfomance zake Rashford kila leo unabaki kushangaa anapata namba vipi na anacheza 90 zote day in day outIla huyu Rashford naye banah, anapoteza kila Mipira tu, Yani ukiangalia kiwango anachokionyesha na Mshahara pamoja na allowances ni vitu viwili tofauti ( Man U needs complete changes in order to re- bounce back).