Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii ilikuwa ferguson pekee anapiga hesabu hizi. Na akiwa dressing room anaweza vunja mtu ..ni upuuzi stricker unakuwa gorini na partner anakuwa kwenye nafasi eti unataka ushinde wewe. Fergi anakuua. David beckam muingereza maarufu alimbonda...akamuuza.

Anagalieni mechi za fergie mjiliwaze kama mimi.
Man United wafanye kama wamesinzia Ten Hag atawapa EPL haraka kuliko Arsenal na Arteta wao.

Timu na ubovu wote ule inaelekea final ya FA siyo kawaida.

Timu ikiharibika sana unahitaji uvumilivu sana na mpango wa muda mrefu kurudi kwenye form.
 
Video ya mchakato wa matibabu kwa wachezaji wa man u imevuja leo🔥🔥🔥 mwakani tutakua na timu ya wachezaji wenye vyuma miguuni kama mac tominay
 
BREAKING:

Manchester United are speeding up the arrival of Ipswich head of recruitment Sam Williams. They have now completed a deal, and Williams will join next month. [
@reluctantnicko
]
1713707757959.png
 
Ila huyu Rashford naye banah, anapoteza kila Mipira tu, Yani ukiangalia kiwango anachokionyesha na Mshahara pamoja na allowances ni vitu viwili tofauti ( Man U needs complete changes in order to re- bounce back).
Ten Hag kuna muda unakosa hata cha kumtetea, hizi perfomance zake Rashford kila leo unabaki kushangaa anapata namba vipi na anacheza 90 zote day in day out
 
Back
Top Bottom