Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii sasa ndio ile inaitwa kula kwa jasho wakati ndugu zetu Asenyo wenyewe ikitimia miezi 9 ya ligi huwa wanazaa kwa uchungu.
1708281216814.jpg
 
Piga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hii sasa ndio ile inaitwa kula kwa jasho wakati ndugu zetu Asenyo wenyewe ikitimia miezi 9 ya ligi huwa wanazaa kwa uchungu. View attachment 2908369
1. Piga bao 2 za bahati nasibu chini ya dk 8.

2. Paki basi.

3. Points 3

Hatuwezi kuwalaumu. Ndiyo maisha mliyochagua.
 
1. Pambania ubingwa mpaka dakika za mwisho..

2. Cheza mpira mzuri

3. ubingwa achukue Liver/man city

Hatuwezi kuwalaumu. Ndiyo maisha mliyochagua.
😀😀😀 ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi 😀😀😀
 
Ila United ya EtH inashangaza na kufurahisha, kwenye BIG 6 ndiyo timu inayocheza mpira mbovu msimu wote huu ila points wanapita nazo.
Mkuu bado uko na hawa ndugu zetu au umeshahamia Brighton and Hove '5G' Albion mazima?
 
😀😀😀 ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi 😀😀😀
Maisha ndo haya haya mkuu mpira ndo huu huu
 
[emoji3][emoji3][emoji3] ama kweli kila mmoja na maisha yake. Mwishowe sisi tunamaliza kwa huzuni, nyie mnamaliza kwa furaha halafu sisi ndiyo tunawaona nyie vichaa, kumbe kichini chini nyie mnatucheka sisi [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila mpaka maandiko ya Agano la kale yanaizungumzia Asenyo ni fungo la kukosa, vile tu nyie hua hamsomagi bible kwa umakini.
 
Back
Top Bottom