Second yellow awaits himCasemiro time imefika sasa, huna speed ,nguvu, umakini umepungua
Kwa speed ya hawa eriksen hawezi kabisa hapa amuingize tominayShaw =Yellow
Casemiro = Yellow
Maguire = Yellow
Halafu namuoma kocha kamnyanyua Erickson apashe.
Huyu kocha atakuwa amelogwa.
Maino apate tu kocha atakaefungua potential yake yote maana anafurahisha kumuangalia na mpira mguuni.
Ila timu kama hii kutuchezea nusu uwanja sio sawa ni dharau kubwa mno.
Second yellow awaits him
Shaw =Yellow
Casemiro = Yellow
Maguire = Yellow
Halafu namuoma kocha kamnyanyua Erickson apashe.
Huyu kocha atakuwa amelogwa.


Sub za Baba Ubaya hua mara nyingi zinaniachaga mdomo wazi. Kwa hali hii kweli?..? Kuna muda hata sielewagi Ten hag na Watoto wake wanafanyaga nini Carrington mpira mbovu mpaka ninachoka kuutizama yani inatokea Tumeshinda ila sasa shambulizi na Msako tuliopigwa ni kama vile tulikuwa Pungufu yani static hazipishani na Chelsea Jana.
Garnacho hayupo form leo, ila ETH alivo na akili zake hatoi nafasi kwa kina Amad kucheza.Makocha wa kiholanzi ni matapeli,
Maneno kibaoo lakini matendo sifuri.
Wengi wao huringia career ya mungu wao