Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Maino apate tu kocha atakaefungua potential yake yote maana anafurahisha kumuangalia na mpira mguuni.
Ila timu kama hii kutuchezea nusu uwanja sio sawa ni dharau kubwa mno.

Maino anaperform ndani na team mbovu. Yaani unaeza kua the best but walikuzunguka wanakufanya uonekane avarege.
Casemiro imetosha sasa
Awe anaanzia benchi
 
Shaw =Yellow
Casemiro = Yellow
Maguire = Yellow

Halafu namuoma kocha kamnyanyua Erickson apashe.

Huyu kocha atakuwa amelogwa.
Sub za Baba Ubaya hua mara nyingi zinaniachaga mdomo wazi.
Leo kama hakuna mchezaji atakae kula umeme basi first eleven yote wanaweza kulambe kadi za njano.
Højlund pamoja na kufunga magoli mawili ila jamaa anapoteza sana mipira, pasi zake utafikiri hua anafunga macho kabla ya kupiga mpira.
 
Hii team bado tuna shida sana

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Kwa hali hii kweli?..? Kuna muda hata sielewagi Ten hag na Watoto wake wanafanyaga nini Carrington mpira mbovu mpaka ninachoka kuutizama yani inatokea Tumeshinda ila sasa shambulizi na Msako tuliopigwa ni kama vile tulikuwa Pungufu yani static hazipishani na Chelsea Jana.
Screenshot_20240218-203251.jpg
Screenshot_20240218-000612.jpg
 
Ian Wright wants to see Kobbie Mainoo in the next England squad

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240218_204235_209.jpg
 
| Tests are set to follow for Luke Shaw after he sustained a new injury today during the first half vs Luton Town.

𝐒𝐩𝐚𝐧𝐧𝐞𝐫𝐌𝐤𝐨𝐧𝐨𝐧𝐢


[FabrizioRomano]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20240218_204351_243.jpg
 
Back
Top Bottom