Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 1,252
- 1,806
Liver tunawafuturu
man utd ni bora kwao wasiwepo top 5 maana naskia uefa msimu ujao epl wanapeleka team 5 sio 4 tenaHivi... nyie mkifungwa leo, maana yake si mmewahakikishia Arsenal, Livepool na Manchester City top 4? Wanakuwa na uhakika wa Champions League na wanabaki kupambania ubingwa tu?
Ww peke yako ndo una akili hmu ndani...sio Flano security guard....leo tupo pamoja kwny shida na raha...Livakuku lazima aombe mechi iishe leoNi wale wale tena vijana wa Bwenyenye Sir Jim kosi ilo hapo watapigwa sana wale liverkuku.View attachment 2956605
Tunawapigia hapo hapo kwenu na kuondoka na point 3 tuLivakuku hatoki
😄😄😄⚽⚽Tunawapigia hapo hapo kwenu na kuondoka na point 3 tu
Kwangu imeshakuwa ndio maisha yangu kuangalia mechi za manchester united.Siku hizi nakuwa muoga sana kuangalia mechi zetu