Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Draw tu inatosha wazee ,mbona kwenye fa mlimnyoosha Liverpool![]()
Sisi Manchester United hatuna uwezo wowote musimlazimishe Karim Mandoga akampige Scot Adkins.
Draw tu inatosha wazee ,mbona kwenye fa mlimnyoosha Liverpool![]()
Wachumba tu nyuie, leo mnakijolewa kama mlivyokojolewa juzi dakika za mwishoKama wewe ni Kocha, kama Kuna kitu unatakiwa kuogopa ni kukutana na Manchester united (the red devils) huku wametoka kupoteza mechi iliyopita
Draw tu inatosha wazee ,mbona kwenye fa mlimnyoosha Liverpool![]()
Fernandes captain na mzee wa kulalamika ukimuacha nje si unataka upigw 8-0? Au mnataka Livakuku atufikie kwenye GD?Leo naona fernandes apumzike tu maana kakimbiza upepo mpaka ubunifu hamna tena
Jamaa mechi zote anaanzishwa dk zote sio poa anatakiwa apate muda wa kureflect kidogo 😀Fernandes captain na mzee wa kulalamika ukimuacha nje si unataka upigw 8-0? Au mnataka Livakuku atufikie kwenye GD?
Mpumzisheni mechi ijayo. Ila kama yuko fit, leo acheze.Jamaa mechi zote anaanzishwa dk zote sio poa anatakiwa apate muda wa kureflect kidogo 😀
Acheze leo mpk dk ya mwsho waambulie hyo sare...ila kwny Yale mazoezi baada ya mechi aumie...akose mechi zte za ligi zilizobaki...kina Kambwala nao wapate nafasi ya kucheza kiungo🤠🤠Mpumzisheni mechi ijayo. Ila kama yuko fit, leo acheze.
Wonders will never end for sure. With 8 games to go there are some wildebeest still believe their season is yet to start.Kama kawaida timu letu leo man u mnaweza liva ashakata moto yule
Haujaongea badoWachumba tu nyuie, leo mnakijolewa kama mlivyokojolewa juzi dakika za mwisho
Leo mnapigwa kimoja tu cha nguruwe
Hivi... nyie mkifungwa leo, maana yake si mmewahakikishia Arsenal, Livepool na Manchester City top 4? Wanakuwa na uhakika wa Champions League na wanabaki kupambania ubingwa tu?


Mashabiki wote wa United leo dua zao ni kumuombea Livakuku aongoze ligi, halafu humu yamejazana mashabiki ya Arsenyau na Mamasita yanajifanya yana mapenzi makubwa na sisi. 


man utd ni bora kwao wasiwepo top 5 maana naskia uefa msimu ujao epl wanapeleka team 5 sio 4 tenaHivi... nyie mkifungwa leo, maana yake si mmewahakikishia Arsenal, Livepool na Manchester City top 4? Wanakuwa na uhakika wa Champions League na wanabaki kupambania ubingwa tu?
Ww peke yako ndo una akili hmu ndani...sio Flano security guard....leo tupo pamoja kwny shida na raha...Livakuku lazima aombe mechi iishe leoNi wale wale tena vijana wa Bwenyenye Sir Jim kosi ilo hapo watapigwa sana wale liverkuku.View attachment 2956605