Ndio fitna za kimpira hizo lazima tupate matokeoSoft penalty
Watoke tu 😄😄, Liverpool tunapiga tuMagoli ya kupewa kama haya ndio yanayowatoa wachezaji mchezoni
Nilikuja kuandika hapa. Garnacho anasababisha Liverpool wapunguze kupanda. Hakuna majeruhi na unaingoza unafanya sub ya nini?Hili likocha jinga sana aisee. Garnacho & Mainoo wametoka?
Magoli ya kupewa wapi wakati kwanza mmeshika ndani ya 18? Refa akawabeba?Penati itakuwa ya kiuonezi hii