arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Wqle wababe wenu jana tumewapangusa chuma tatu pale kwao...sasa nyie ambao mnacheza kwa kudra za Muumba mjiandae na mbinyo utakaosababisha Kipara Baba Ubaya alalqmike mechi ikiisha....kuwakazia Liver msijidanganye kabisa....haitakaa itokee mpate point ytte msimu huu kwetu🤠🤠ðŸ¤
AmMkija Old Trafford mje na kombe la EPL mkononi bila hivyo siku hiyo itakuwa ya maumivu kwenu.

