OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Hahahahaha
1.Kwanza UTD inatakiwa fahamika inataka chezaje {Ama huwa inachezaje kiasili}. Moyes, LVG, JOSE, OLE, RR Kila mmoja ana Idea yake na Nje ya RR walimu wengine wote wamesajili wachezaji wao na bado wapo kikosini.kwa kuangalia situation tulionayo unadhani kipi kitangulie kati ya :
- mwalimu mpya
- au wachezaji wapya, kwa maana tufanye upasuaji alioupendekeza rangnick kwa kuondoa wachezaji wasiokuwa sahihi huku tukibaki na mwalimu aliyepo.
Chakushangaza zaidi timu hiyohiyo mliyoiacha kwa points 20 mwisho wa msimu inanyanyua makwapa na furaha inatawala kwa mashabiki wao halafu wazee wa false hopes wanaondoka mikono mitupu huku jukwaa lao likitamalaki kwa matusiKuna timu tumeiacha points 20 mpaka sasa. Ukicheki GD yao...aah tusiongelee GD yao, ila GD yetu sisi eti ndiyo sawa na points zao mpaka sasa. Cha kushangaza ni hiyi timu ni ya 6 na siyo ya 12 huko...



Hiyo timu iliyoachwa points 20 haiwezi kunyanyua kwapa msimu huu. Wakibahatika sana watafika fainali na kusogelea meza ya karamu ila wataangilia tu mpinzani akila vinono huku wao wakibaki midomo wazi na kutokwa udenda.Chakushangaza zaidi timu hiyohiyo mliyoiacha kwa points 20 mwisho wa msimu inanyanyua makwapa na furaha inatawala kwa mashabiki wao halafu wazee wa false hopes wanaondoka mikono mitupu huku jukwaa lao likitamalaki kwa matusi![]()
Nyie mabumunda nawakumbusha kesho ikiwezekana wte mkae golini mpira usiingie...draw tu inatosha...hayo mengine tutamalizia🤠🤠🤠Chakushangaza zaidi timu hiyohiyo mliyoiacha kwa points 20 mwisho wa msimu inanyanyua makwapa na furaha inatawala kwa mashabiki wao halafu wazee wa false hopes wanaondoka mikono mitupu huku jukwaa lao likitamalaki kwa matusi![]()
Nyie mabumunda nawakumbusha kesho ikiwezekana wte mkae golini mpira usiingie...draw tu inatosha...hayo mengine tutamalizia![]()


Timu ni yetu hivyo msitupangie cha kufanya, sisi kama mashabiki wa United furaha yetu kesho ni kumuona liverpunda anaongoza ligi.Sawa..wasalimie hapo SimiyuMimi ni mtangazaji redio maarufu huku malampaka mkoani. Naweka ahadi Manchester united akinifunga jpili naandika barua ya kuacha kazi




Hatielewi kwann tufungike dkk za lala salama injury time akati enzi za saa fagasoni tumikuwa tunakutiq cha dakk za majeruhi. Tatizo ni nini?Jana na leo huu uzi umepooza sana. Au watu bado wapo ibadani?
LiverfourFriends of ManSeven we gather here...
Bahati nzuri iliwaangukia Chelsea paleHatielewi kwann tufungike dkk za lala salama injury time akati enzi za saa fagasoni tumikuwa tunakutiq cha dakk za majeruhi. Tatizo ni nini?