Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu utopolo inatakiwa takataka zingine kaa arse8 na livakuku wajiandae😀😀😀😂😂
 
kwa kuangalia situation tulionayo unadhani kipi kitangulie kati ya :
  1. mwalimu mpya
  2. au wachezaji wapya, kwa maana tufanye upasuaji alioupendekeza rangnick kwa kuondoa wachezaji wasiokuwa sahihi huku tukibaki na mwalimu aliyepo.
1.Kwanza UTD inatakiwa fahamika inataka chezaje {Ama huwa inachezaje kiasili}. Moyes, LVG, JOSE, OLE, RR Kila mmoja ana Idea yake na Nje ya RR walimu wengine wote wamesajili wachezaji wao na bado wapo kikosini.
Kuna aina nyingi za wachezaji kulingana na Namna mwalimu alitaka cheza sio Asili ya Klabu {UTD ni Transition Based Team}

2.Transition haimaanishi tutegemee tu Counters lazima tuwe tunacontrol Mechi. Bayern ya Jupp na Liver ya Kina Mane/Firmino/Salah.
Tofauti na Timu ya Kumiliki zaidi Mpira ni Zile Risk na Mikimbio mingi kwenda kushambulia Kwa hiyo lazima Pia tuwe na CM's Wazuri kaa na Mpira na Punda Mmoja mwenye akili.

Bayern walikuwa na Toni + Bastian, Anchor wao Martinez , Liver Wijnaldum + Hendo, Anchor wao Fabinho. Wings lazima wawe na Uwezo Mkubwa wa 1v1. Ribery/Robben + Mane/Salah. na FB's Ni muhimu zaidi Wale wana Lahm/Alaba huku TAA/Robbo.

UTD
Sasa! Mifano juu hapo kuonyesha timu zilofika Peak kwa aina ya Mpira tunataka Cheza. Kuna wachezaji wangapi wa Madaraja Hayo ama Potential hiyo. Kifupi Ni kuuza Hili kundi karibu asilimia 75%. Rangnick alikuwa SAHIHI.
Brighton akiondoka RDZ akija Mwalimu mwingine mabadiliko huwezi ona sana sababu tayari wana Identity yao na Aina ya wachezaji wa kuendana na Identity yao.
 
Kuna timu tumeiacha points 20 mpaka sasa. Ukicheki GD yao...aah tusiongelee GD yao, ila GD yetu sisi eti ndiyo sawa na points zao mpaka sasa. Cha kushangaza ni hiyi timu ni ya 6 na siyo ya 12 huko...
 
Kuna timu tumeiacha points 20 mpaka sasa. Ukicheki GD yao...aah tusiongelee GD yao, ila GD yetu sisi eti ndiyo sawa na points zao mpaka sasa. Cha kushangaza ni hiyi timu ni ya 6 na siyo ya 12 huko...
Chakushangaza zaidi timu hiyohiyo mliyoiacha kwa points 20 mwisho wa msimu inanyanyua makwapa na furaha inatawala kwa mashabiki wao halafu wazee wa false hopes wanaondoka mikono mitupu huku jukwaa lao likitamalaki kwa matusi
 
Chakushangaza zaidi timu hiyohiyo mliyoiacha kwa points 20 mwisho wa msimu inanyanyua makwapa na furaha inatawala kwa mashabiki wao halafu wazee wa false hopes wanaondoka mikono mitupu huku jukwaa lao likitamalaki kwa matusi
Hiyo timu iliyoachwa points 20 haiwezi kunyanyua kwapa msimu huu. Wakibahatika sana watafika fainali na kusogelea meza ya karamu ila wataangilia tu mpinzani akila vinono huku wao wakibaki midomo wazi na kutokwa udenda.
 
Chakushangaza zaidi timu hiyohiyo mliyoiacha kwa points 20 mwisho wa msimu inanyanyua makwapa na furaha inatawala kwa mashabiki wao halafu wazee wa false hopes wanaondoka mikono mitupu huku jukwaa lao likitamalaki kwa matusi
Nyie mabumunda nawakumbusha kesho ikiwezekana wte mkae golini mpira usiingie...draw tu inatosha...hayo mengine tutamalizia🤠🤠🤠
 
Itabidi tushinde leo kwa kweli..

Lakini kama ilivyo kawaida,hatujui ni nini United itatupa leo..
 
Back
Top Bottom