Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Misimu miwili mizima hatuoni nini kipara anataka kufanya uwanjani, Kifupi hakuna mwanga wa nini jamaa anataka kucheza ni papatu papatu tu hivyo hivyo siku zinasonga.
 
UEFA ndio wameshindwa kuweka ratiba ya mechi moja kuchezwa saa 1 na nyengine saa 4.

Wamezingua

Man city vs real
Arsenal vs bayern

zote ni must watch
 
Ni suala la mda tu tutaamini wote kwamba kipara anatupotezea muda tu yeye pamoja na genge lake. Hata timu za second division hazichezi huu mpira nonsense.
Taratibu mashabiki wataanza elewa ukweli mchungu kuwa hapa hakuna timu kocha management wala passionate ya mpira

ni ujanja ujanja plus biashara na historia ndicho kilichobaki
itachukua muda man utd kufika level za hao waliopo top 3

sasa hiv top 3
Liverpool
Arsenal
Mancity

wanauwakika wakuchukua 7/9 points from man utd
man city took 9
Liverpool takes 7
Arsenal is gonna demolish this embarrassing team
kuna kipigo kizito kinakuja labda huruma itendeke
 
man utd ni bora kwao wasiwepo top 5 maana naskia uefa msimu ujao epl wanapeleka team 5 sio 4 tena

kutokuwepo top 4 itawapa chance ya kutengeneza tena squad under pressure yakukuwa in much fixtures and abstaining several injuries na kupisha wakuu ( INEOS) wafanye usafi ndani ya team
from management players to staff and facilities authorities and
system hierarchy

man utd inahitaji kuondoa watumishi hewa wote kwanzia kwenye kikosi wabaki ma young kina garnacho amad maino mount holjlund bisaka dalot antony pengine na bruno ila waliobakia peleka on loan au uza
Hii hoja ya kwamba kikosi kitatengenezwa bila presha mlishaitumia na ikabackfire.

Msimu uliopita chelsea alileta hoja hiyo hiyo matokeo yake yupo nafasi ya 10.

Hizi projects ni failure. Haina haja kuendelea kutafuta visingizio.
 
Back
Top Bottom