kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,918
- 10,461
wake up mkuu badirika li timu litakupa pressure hili.Kwangu imeshakuwa ndio maisha yangu kuangalia mechi za manchester united.
Labda nije nikose access ya kuangalia mechi.
Mimi sikuhizi hata sina time. kocha huyu tumepigwa hakuna kitu