Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20240405-004354.png
ningeshangaa sana kufungwa na manyuu mbovu ndani nje😂😂😂
 
Jumapili zile 7 tulizopigwa msimu ulioisha Anfield zinaenda kurudiwa tena pale unyumbuni.
Hii timu Ubwanyenye kuanzia kwa wamiliki, kocha mpaka wachezaji.
Timu ikiongoza kwa goli moja tu wachezaji wanaona tayari maisha wameshayapatia.
Life style ya hii timu haina tofauti na life style ya ndugu zetu Wazaramo
Mwanangu Flano hunaga baya.Ila jumapili kazeni basi maana mkifanya mchezo mnaweza kula wiki tena
 
Back
Top Bottom