Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

it's time nimekubali kuwa hatuna kocha haiwezekaniukawa una ongoza 3 the unabadilisha style yaku park bus unategemea nn hapo
plus Rashford ni very lazy kukaba ni kitu hajuagi
 
Tukiacha mbinu za kocha hujaona makosa binafs ya wachezaji?
it's time nimekubali kuwa hatuna kocha haiwezekaniukawa una ongoza 3 the unabadilisha style yaku park bus unategemea nn hapo
plus Rashford ni very lazy kukaba ni kitu hajuagi
 
Tunawaomba sana j2 mpate hata draw...huu ulofa mloonesha leo hzi dk za nyongeza usijirudie tena....mmeniharibia usiku wangu pambafu sana
Jumapili zile 7 tulizopigwa msimu ulioisha Anfield zinaenda kurudiwa tena pale unyumbuni.
Hii timu Ubwanyenye kuanzia kwa wamiliki, kocha mpaka wachezaji.
Timu ikiongoza kwa goli moja tu wachezaji wanaona tayari maisha wameshayapatia.
Life style ya hii timu haina tofauti na life style ya ndugu zetu Wazaramo
 
Back
Top Bottom