Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

7hag anasema mechi aliidominate na alistahili kushinda


Aisee huyu kocha manjesta mlimtoa wapi ?

Binafsi nilihitaji mechi 5 tu kujua hapa hakuna kocha

Juzi Thomas Frank wa Brentford alimu outplay sana ,ilikuwa aibu ya mwaka


Brentford waliingia mara 85 kwenye box la manjesta kwa dk 90, means kila baada ya dk 1 mpinzani yupo kwenye box la manjesta

Ipo siku kabla msimu haujaisha mtapigwa kipigo cha mbwa mwizi


Jana Chelsea kapiga shots 28, on target 10


Ndani ya dk 1 kapata magoli mawili

Narudia kabla msimu haujaisha mtapigwa kipigo cha mbwa mwizi


View attachment 2954315
Hakuna kocha pale.

Alidominate utumbo, wachezaji hawawezi hata kumiliki mpira kwa dakkika tatu mfululizo.
 
Matajiri wa Chelsea hawatakiwi kucheza kamari ya Mauricio Pochettino, ni bora walipe fidia kwa Brighton then wamchukue Roberto Di Zerbi. Naamini atakuwa na kazi nyepesi ya kufanya, chelsea wana kundi kubwa la wachezaji wanaojiweza kiufundi ndio maana licha ya ubovu wao bado wana uwezo wa kwenda jino kwa jino dhidi ya manchester city na hata liverpool.

sidhani kama matokeo dhidi ya timu hizo yalitokea kibahati mbaya, Mauricio Pochettino atawapotezea muda.

enzo, palmer, gusto, sterling, chukwuemeka, caicedo, lavia, james, colwill, nkunku (injury prone), mudryk hata madueke anaweza kuwa mchezaji wa hakiba.

Eneo wanalohitaji kulipa kipaombele ni mshambuliaji, mabeki wa kati na mlinzi wa kushoto.

Mawazo yangu.
 
Nyie
 

Attachments

  • Screenshot_20240405_085958_Instagram.jpg
    Screenshot_20240405_085958_Instagram.jpg
    85 KB · Views: 10
Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Bado hamjasema
 
enzo, palmer, gusto, sterling, chukwuemeka, caicedo, lavia, james, colwill, nkunku (injury prone), mudryk hata madueke anaweza kuwa mchezaji wa hakiba.
Eneo wanalohitaji kulipa kipaombele ni mshambuliaji, mabeki wa kati na mlinzi wa kushoto
Chelsea wamesajili wachezaji wengi wadogo kwa hiyo kuna Changamoto ya Uzoefu. Msimu Ujao kama atapata CF Osimhen/Vlahovic & Toney watafanya Poa sana tofauti na Msimu Huu. CB's {Fofana, Colwill, Disasi, Badiashile, wanaongeza Mmoja tu World Class acheze CCB aunganishe timu na GK kati ya Maignan/Costa.

Mwalimu Mzuri kwa Wachezaji walionao nadhani wangemtizama Amorim ama Inzaghi kwa sababu wana Defenders wengi sana wakiwatumia James/Gusto na Chilwell/Cucu/Maatsen kama Wingbacks itawapa Options nyingi sana Mudryk/Nkunku na Palmer nyuma ya CF.
De Zerbi
yupo Fresh ila Mhafidhina sana timu ya Kutafuta Makombe itamtesa.

Chelsea tofauti na UTD hawaitaji fanya Shopping kubwa na kutokuwa na Mashindano mengi kutawasaidia. UTD 75% ya timu ni ya Kuuza mara Mia Watumike watoto wa Academy.
 
John Murtough is set to depart #mufc. There had been a loose proposal he could continue working in a reduced role, but all parties now accept a clean separation makes most sense. His exit should be confirmed once hires on the structural side are formalised.
laurie whitwell
1712318534769.png
 
Jason Wilcox is expected to engage daily with the #mufc manager and provide a link to the hierarchy. He will also be a bridge between the youth setup and the first team, tapping into work he did as academy director at Manchester City.
laurie whitwell
1712318894433.png
 
Sir Dave Brailsford has an open-door policy for #mufc staff and players to discuss their thoughts on improving the environment at the club. Several members of Ten Hag’s squad have taken up the opportunity to speak candidly with Brailsford in his office.
@lauriewhitwell
1712318986079.png
 
INEOS would like to stick with Ten Hag, and he would also like to stay at #mufc. There has been a good sense of collaboration and discussions between Ten Hag, Sir Dave Brailsford and Sir Jim Ratcliffe recently.
laurie whitwell
 
Chelsea tofauti na UTD hawaitaji fanya Shopping kubwa na kutokuwa na Mashindano mengi kutawasaidia. UTD 75% ya timu ni ya Kuuza mara Mia Watumike watoto wa Academy.
kwa kuangalia situation tulionayo unadhani kipi kitangulie kati ya :
  1. mwalimu mpya
  2. au wachezaji wapya, kwa maana tufanye upasuaji alioupendekeza rangnick kwa kuondoa wachezaji wasiokuwa sahihi huku tukibaki na mwalimu aliyepo.
 
INEOS would like to stick with Ten Hag, and he would also like to stay at #mufc. There has been a good sense of collaboration and discussions between Ten Hag, Sir Dave Brailsford and Sir Jim Ratcliffe recently.
laurie whitwell
 
Several figures at #mufc feel Erik ten Hag deserves the chance to operate in a new structure populated by people whom Sir Jim Ratcliffe and Brailsford regard as “best in class”. [
@lauriewhitwell
]
 
Back
Top Bottom