Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Inasemekana Jurgen anamkimbia ETH pale EPL. ETH ameshamaliza era ya Jurgen kama alivyoahidi. Msimu ujao anaenda kumaliza era ya Pep tena.

BTW nisiwe na sala za kumsumbua Mwenyezi Mungu siku ya J2; ati nimuombe aisaidie Manure izuie hata sare ili tittle race iwe open, maana hii team kwa ilipofika hali yake ni dhohofu l'hali.
 
Nawahurumia tu liverpool hiyo weekend

Nampenda kocha wa liverpool ni very humble ila when it comes to Manchester United vs liverpool ni story tofauti

We will beat both Liverpool and arsenal
Kama ukimfunga Liverpool, basi tambua kwa mara nyingine tutatangazia ubingwa Old Trafford.
 
Screenshot_20240317-182406-1.jpg
 
Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
 
Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Lazma muitaje Arsenal yani mpka kipigo cha jana nacho kimesababishwa na Arsenal..
 
Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Somtym muwe mnapgaga tu kimya ili tusijue kiwango cha ufikiri wako.
 
Leo umekubali enhee kuwa Seven hag ni tapeli

Tusema ukweli zile peneti angepigiwa chelsea dunia nzima ingeongea kama ile ya dalot ni penati mech ya arsenal gabriel alimdaka kabisa hojlund haikuwa penati sasa ile ya dalot aaaa kituko aiseee ukija ya cucurela nye nye nye
Dalot mwenyewe aliinama chini baada ya foul akijua kuwa kashachomesha wewe unakuja kutetea 😂😂
 
Kama kabeti ni kwa Nyumbu wa Serengeti
Chelsea katika faulu 7 kapewa yellow 3 wakati Nyumba kafanya faulu 15 hakuna hata yellow moja na faulu zingine zilikuwa obvious yellow
Ile penati ya kwanza ya mchongo
 
7hag anasema mechi aliidominate na alistahili kushinda


Aisee huyu kocha manjesta mlimtoa wapi ?

Binafsi nilihitaji mechi 5 tu kujua hapa hakuna kocha

Juzi Thomas Frank wa Brentford alimu outplay sana ,ilikuwa aibu ya mwaka


Brentford waliingia mara 85 kwenye box la manjesta kwa dk 90, means kila baada ya dk 1 mpinzani yupo kwenye box la manjesta

Ipo siku kabla msimu haujaisha mtapigwa kipigo cha mbwa mwizi


Jana Chelsea kapiga shots 28, on target 10


Ndani ya dk 1 kapata magoli mawili

Narudia kabla msimu haujaisha mtapigwa kipigo cha mbwa mwizi


20240405_002847.jpg
 
Back
Top Bottom