Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmeiona fixture yenu?
Screenshot_20240404-073519.jpg
 
Chelsea vs man utd ..

Hii game zamani ilikuwa na attention kubwa Sana ,ila siku hizi Ni kama burnely anacheza na southmptom ...

Hakuna lengo lolote la kuangalia hii game ,...

Sio top title contenders

Sio top 4 contenders

Kiufupi Hakuna maana yeyote ya kuangalia hii game
 
Kikosi Cha Bwenyenye Sir Jim ichi hapa kikishuka kuwakabili vijana wa Bwenyenye Tody ichi hapa.
Watapigwa Sana wale 🤏

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction
Chelsea 1 vs Manchester United 3
20240404_201700.jpg
 
Man United’s Lisandro Martinez and Victor Lindelof will be out of action for at least a month.

Muscle injuries for Argentinian and Swedish defenders who hope to return before the end of the current season.
Wanetu wa "we don't play friendlies" Kutokea mtaa wa sita

✍🏾 Game plan: Bruno to Rashford and inshalah
 
Kikosi Cha Bwenyenye Sir Jim ichi hapa kikishuka kuwakabili vijana wa Bwenyenye Tody ichi hapa.
Watapigwa Sana wale 🤏

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha

My prediction
Chelsea 1 vs Manchester United 3View attachment 2953967
Fernandes atafia uwanjani jamani hana mechi ndogo wala kubwa zote ndani
 
Chelsea vs man utd ..

Hii game zamani ilikuwa na attention kubwa Sana ,ila siku hizi Ni kama burnely anacheza na southmptom ...

Hakuna lengo lolote la kuangalia hii game ,...

Sio top title contenders

Sio top 4 contenders

Kiufupi Hakuna maana yeyote ya kuangalia hii game
MAISHA NAYABADILIKA SANA AISEE.
 
Liverpool ni timu dhaifu sana kwa kweli pamoja na ubovu wa manchester united hawana tofauti sana

Mchawi wa EPL ni Pep tu kwa Sasa, manchester city bila Pep ni wepesi sana


Mzee kloop kajichokea km alivyosema anaweza tena kiutani utani akamuachia Pep akabeba Epl
 
Back
Top Bottom