ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,549
- 7,987
Endelea kuota MpalakugendaPalmer anawachambua man u kama karanga.
Endelea kuota MpalakugendaPalmer anawachambua man u kama karanga.
Onana kaanzisha shambulizi vizuri sanaBrunoooooooooo 2-2
Sio kweli. Timu inaongoza ligi ngumu hivi unasemaje imechoka? Kwa taarifa yako timu ndogo zina nguvu sana sasa hivi, huwezi kuzifunga hizi timu ndogo kirahisi lazima utoke jasho.Liverpool ni timu dhaifu sana kwa kweli pamoja na ubovu wa manchester united hawana tofauti sana
Mchawi wa EPL ni Pep tu kwa Sasa, manchester city bila Pep ni wepesi sana
Mzee kloop kajichokea km alivyosema anaweza tena kiutani utani akamuachia Pep akabeba Epl
Si
Sio kweli. Timu inaongoza ligi ngumu hivi unasemaje imechoka? Kwa taarifa yako timu ndogo zina nguvu sana sasa hivi, huwezi kuzifunga hizi timu ndogo kirahisi lazima utoke jasho.
Na wamegoma kuirudia kabisaaaaPenati ya mchongo