Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni suala la muda,
ROMA haikujengwa kwa siku moja
1. Hojlund
2. Garnacho
3. Martinez
4. Maino
5. Dalot
6. Onana
7. Bruno
8. Shaw
9. Rashford
Hawa wakiwa fit, united tunamiliki ball na %kushinda inakuwa juu na hiyo list 80% yeye ndio kasajili.
Style of playing ni transition football, hii style kwa sasa inataka rashford, garnacho, bruno, maino na hojlund wawe fit ndio utaona impact
Kwa kweli ETH bado yuko asubuhi kweny hii project plus kaikopy baada ya kutua united.
Kuhusu usajili jamaa support haikuwa super sababu club ilikuw sokoni, tulikuw tuna ungaunga plus management mbovu.

MIMI NIKO NA ETH, msimu tunatoboa top 4.
Msimu ujao ndio wa kumuuliza maswala magumu, na yeye alipofika aliahidi msimu wa tatu ndio aulizwe.
Puuzia nyama ya jirani zetu, sasa sisi tule tembele, tukisubri hii process ya ETH km itakubali au vinginevyo.
sio mbali ni next season tu ndio utaamua hatma yake na ni mwisho wa mkataba pia.
Kama ten hug angekua elite/top manager asingebadili falsasa zake ila angekomaa nazo
Kama alikua anacheza possession based Ajax kwanini ahamie kwenye transition? Hamuoni tu kua mnapigwa na uyo jasusi mchana kweupe?
 
Hivi nyumbu mna shida gani? Hamjui hata hesabu? Ten hug apo kwenye iyo list ya wachezaji 9 amesajili watatu tu, sasa iyo asilimia 80 umeitoa wapi?
Ten hug ni failure tu hapo unyumbuni hamna mahali atawafikisha, kocha ego kubwa uwezo mdogo
80% ni estimation
 
Tatizo ni mfumo Mkuu..hili kashindwa..au ni uongozi wa mpira haupo Manchester United..

Liverpool jana hawakuwa na
Allison
Trent
Robbo(alitokea benchi)
Salah (alitokea benchi)
Konate
Jota

Ila watoto waliupiga sana sana..
Ikifika sehemu KDB anagomba, Bernado anapaniki, Foden anangoja Rebound basi mambo yalikua moto..

Kwetu mfumo haupo..
Still tuna viungo wa ulinzi wengi ambao wangeficha kabisa ubovu wa safu ya ulinzi..

Matokeo yake Lindelof akimbizane mwanzo mwisho..
Mwl pamoja na ubovu wa uendeshwaji ila na yeye hatoshi tu..

Van gal bana pasi hata kama ni za kurudi nyuma zilipigwa na kina fellaini..
Viungo wa ulinzi kina nani? Casemiro mla pensheni au amrabat?
 
Ni suala la muda,
ROMA haikujengwa kwa siku moja
1. Hojlund
2. Garnacho
3. Martinez
4. Maino
5. Dalot
6. Onana
7. Bruno
8. Shaw
9. Rashford
Hawa wakiwa fit, united tunamiliki ball na %kushinda inakuwa juu na hiyo list 80% yeye ndio kasajili.
Style of playing ni transition football, hii style kwa sasa inataka rashford, garnacho, bruno, maino na hojlund wawe fit ndio utaona impact
Kwa kweli ETH bado yuko asubuhi kweny hii project plus kaikopy baada ya kutua united.
Kuhusu usajili jamaa support haikuwa super sababu club ilikuw sokoni, tulikuw tuna ungaunga plus management mbovu.

MIMI NIKO NA ETH, msimu tunatoboa top 4.
Msimu ujao ndio wa kumuuliza maswala magumu, na yeye alipofika aliahidi msimu wa tatu ndio aulizwe.
Puuzia nyama ya jirani zetu, sasa sisi tule tembele, tukisubri hii process ya ETH km itakubali au vinginevyo.
sio mbali ni next season tu ndio utaamua hatma yake na ni mwisho wa mkataba pia.
Sawa Mkuu..

Ila kama Manchester siku moja tutabeba ubingwa wa EPL
Rashford atakuwa mchezaji wa akiba
Bruno ni mixed
Mainoo Yes
Hojlund Yes(asiumie umie sana)
Lisandro Yes (asiumie umie pia)
Onana Yes (ame anza kuzoea) tunampa mda
Garnacho Mixed (apate Mwl asiechekelea utoto)

Transition football..
Ukweli sijui sana ni shabiki wa kawaida ila huu mpira ni mgumu na rahisi kwa wakati mmoja..

Ni rahisi ukiwa na watu dizaini ya kina Mbappe
Ni mgumu kama forward ni kina Rashford..

Mpira huu Mane na Salah waliucheza naikumbuka mechi ya AS Roma Anfield..
Nakumbuka pia mechi ya Arsenal vs Utd UCL semi final 2008

AC Milan vs Utd UCL semi final San Siro..

Sio mfumo rahisi kwa watu waliopo..

Na mpira unabadilika wakuu ya nini kujitesa??

Wataru Endo kijana mdogo wa kijapan navuruga plans zooote za Mr Kipara..

Kumbe hata sisi proper System Mainoo na Amrabat wangeweza kabisa kuwashika kina Fulham, Luton na Bournemouth??
Achilia mbali Eriksen, Casimiro na Tominay
 
Sanasana ameamin kuwa hii sio ligi lele mama makocha miamba kama pep na huy wa Liverpool sio mchezo..tatizo ni yeye mwenyewe....

Waxhezani ka.ma amana unaitumiaje. Alitakiwa mlezi pia. Kukosana na Ronald. Pogba. Sancho..kumuuza Fred nakadhalika ni kukosa uwezo wa kupambana na malezi.

Baada ya kukosana na pogba na Ronaldo alipaswa kulea watoto wa academy..

Kama alivyompata mainoo na ganacho alipaswa kumpata left back. Centa back right back hawa stricker watoto alipaswa sometimes kuwachanganya. Sasa utakaaje unamtegemea Evans. Mbona kambambwa anapambana poa tu
Ten Hag alikuta Pogba amemaliza mkataba wake na alikuwa na injury kwa purukushani za Pogba ilikuwa sahihi kuanza rebuild bila yeye.

Kumuacha Ronaldo aondoke ilikuwa sahihi, nilisema toka day one usajili wa Ronaldo ulikuwa chanzo cha tatizo jipya matokeo yake likaondoka na Ole, Ole mwenyewe amelithibitisha hilo kwenye interview yake ya hivi karibuni.

Klopp alistruggle misimu minne kupata walau kombe la Champions League na alikuta Liverpool imesajili wachezaji wengi wa hovyo na kipindi hicho uwekezaji ulikuwa mkubwa kwenye timu tano tu za ligi.

Kuanza kutaka Ten Hag aperform kiwango sawa na kila Klopp na Pep wenye misimu tisa kwenye ligi na vikosi vyao ni kumuonea huyu ndiyo kwanza usajili wanaofanya ni wa kutest mitambo.

Ten Hag ana mapungufu yake lakini bado anastahili muda kuongoza United.

Nilisema Man United tunahitaji a pragmatic Manager anayetaka matokeo Ten Hag amefit kwenye hilo zipo set backs chache ambazo zinavumilika.
 
Sanasana ameamin kuwa hii sio ligi lele mama makocha miamba kama pep na huy wa Liverpool sio mchezo..tatizo ni yeye mwenyewe....

Waxhezani ka.ma amana unaitumiaje. Alitakiwa mlezi pia. Kukosana na Ronald. Pogba. Sancho..kumuuza Fred nakadhalika ni kukosa uwezo wa kupambana na malezi.

Baada ya kukosana na pogba na Ronaldo alipaswa kulea watoto wa academy..

Kama alivyompata mainoo na ganacho alipaswa kumpata left back. Centa back right back hawa stricker watoto alipaswa sometimes kuwachanganya. Sasa utakaaje unamtegemea Evans. Mbona kambambwa anapambana poa tu
Kosa la Ten Hag ni kumuacha Fred aondoke halafu hajapata replacement sahihi.

Amrabat na Mount hawajaongeza kitu chochote kikosini ni jambo la kawaid kwa usajili kufeli ni kama Pep na Philip's au Matheus Nunes
 
Amad amefuta kila kinachohusu manchester united katika account yake
1710184246319.png
 
Na hili ni pungufu lake katika falsafa yake ya kufundisha mpira..ameshindwa kuiheshimu EPL..

Pep ametamba kwa gharama kubwa sana na bado amepata free run mara 2 tu kati ya ndoo zake 5..mbili kazibeba mechi ya mwisho..

Moja pia ni kukosa ukomavu kwa Arsenal..

Zile mbili tulizomfatia alikuwa ligi ya peke yake..

Erik ameshindwa kuiheshimu EPL na mwisho ataondoka..

Manchester United sio kama hao
Unakumbuka Klopp na Gegen pressing yake alivyokuwa anachslapika ?

Hata Arteta kuna wakati alikuwa anapigwa mechi kama tano mfululizo.
 
Unakumbuka Klopp na Gegen pressing yake alivyokuwa anachslapika ?

Hata Arteta kuna wakati alikuwa anapigwa mechi kama tano mfululizo.
Nakumbuka Mkuu..
Nyingi akiongoza zinasawazishwa..hio ipo hata sasa..ila alikua na watu wanaofunga magoli ya kutosha..

Sio hao wetu..

Jambo jema kusimama na mwalimu wetu..kikubwa awaondoe shaka wote wenye shaka nae..

Last season ni tuliponea zaidi ubutu wa Chelsea na Liverpool..
Achilia mbali Spurs..
 
Mashabiki wa nyumbu mnaona Arsenal Liverpool Manchester City wanavyocheza football ️? Flano imagine unaangalia hizi team then angalia Manchester United mvayocheza inasikitisha
Alhamdulillah lakini matokea tunapata, Arsenyau ndie angekua anacheza kama tunavyocheza sisi nakuhakikishia kwenye msimamo wa ligi angekua kule chinichini kabisa pamoja na kina Burnley
 
Tatizo ni mfumo Mkuu..hili kashindwa..au ni uongozi wa mpira haupo Manchester United..

Liverpool jana hawakuwa na
Allison
Trent
Robbo(alitokea benchi)
Salah (alitokea benchi)
Konate
Jota

Ila watoto waliupiga sana sana..
Ikifika sehemu KDB anagomba, Bernado anapaniki, Foden anangoja Rebound basi mambo yalikua moto..

Kwetu mfumo haupo..
Still tuna viungo wa ulinzi wengi ambao wangeficha kabisa ubovu wa safu ya ulinzi..

Matokeo yake Lindelof akimbizane mwanzo mwisho..
Mwl pamoja na ubovu wa uendeshwaji ila na yeye hatoshi tu..

Van gal bana pasi hata kama ni za kurudi nyuma zilipigwa na kina fellaini..
Screenshot_20240312_231631_Chrome~2.jpg
Na wenzetu wanazidi kujijenga..kuwa na huyu jamaa ni njaa
 
Back
Top Bottom