Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mason anarejea anafaida ipi man united
Mtambo wa mabao huo
20231130_152249.jpg
 
Nimejikuta nawaza ilikuaje Flano amempa hamis jina la masingeli.

Teh teh teh
Huyu muhuni alimpachika Antony jina la Masebene, kelele zake zikawa nyingi humu kwenye jukwaa letu kama waimba singeli, basi kwa kua alimuita mwenzie Masebene na mimi nikaona jina la Masingeli litamfaa na yeye.
Ninachoshukuru jina la Masingeli limekubalika, hata Asaninyau wenzake sasa hivi nao pia wanamuita Masingeli na yeye pia hilo jina amelipokea kwa mikono miwili
 
Huyu muhuni alimpachika Antony jina la Masebene, kelele zake zikawa nyingi humu kwenye jukwaa letu kama vile waimba singeli, basi kwa kua alimuita mwenzie Masebene na mimi nikaona jina la Masingeli litamfaa na yeye.
Ninachoshukuru jina la Masingeli limekubalika, hata Asaninyau wenzake sasa hivi nao pia wanamuita Masingeli na yeye pia hilo jina amelipokea kwa mikono miwili
We jamaa bhana,, mzinguaji Sana sema mwanetu masingeli na wewe hamna baya wakuu
 
We jamaa bhana,, mzinguaji Sana sema mwanetu masingeli na wewe hamna baya wakuu
Mkuu mpira ni burudani na haya matani ndio yanaifanya hii burudani ya soccer inanoga zaidi, ingawa kuna wengine hii burudani wameichukulia serious sana mpaka inawatesa.
Ila Arsenyau kwa huu mwendo mnaoenda nao mnatukosesha amani mjue?
Sasa nyinyi mkichukua makombe sisi tutamtania nani?
 
Hatuna wachezaji.
Inabidi tusajili wachezaji 10 na kuacha wachezaji 11 msimu ujao.
Tatizo kwenye usajili ETH bado haaminiki.
Lakini uongozi mpya labda utatuvusha.
Hali ni mbaya.
Front line no chemistry, midfield upumbafu, backline uozo
Coaching staff, bado sijapata nguvu ya kuwalaumu, imagine tunazidiwa squad na aston villa, west ham.
Hata yeye ETG katupiga kwa Antony, Mount na Malacia sio wachezaji wa maana
 
Dah yaan mnaniita masingeri? Flano ana ujinga mwingi sana
Ila sijafikia ule ujinga wako wa kumuita Masebene winga wetu “The King of Dribble” mzee wa spin 360°.
Halafu sisi kama mashabiki wa Utd hatutaki kila saa kuja kumsimanga humu kocha wa boli, kocha la makombe (mrithi halali wa Pep Guardiola kwenye Epl) Le professor Sir Erik Ten Hag.
tapatalk_-582049224_512x539.jpg
 
Ila sijafikia ule ujinga wako wa kumuita Masebene winga wetu “The King of Dribble” mzee wa spin 360°.
Halafu sisi kama mashabiki wa Utd hatutaki kila saa kuja mkumsimanga humu kocha wa boli, kocha la makombe (mrithi halali wa Pep Guardiola kwenye Epl) Le professor Sir Erik Ten Hag. View attachment 2935898
🤣🤣🤣 hapo mwnywe ndg yetu Flano kiungo bamia neno "mrithi" umeongea huku unaogopa
 
Huyu muhuni alimpachika Antony jina la Masebene, kelele zake zikawa nyingi humu kwenye jukwaa letu kama waimba singeli, basi kwa kua alimuita mwenzie Masebene na mimi nikaona jina la Masingeli litamfaa na yeye.
Ninachoshukuru jina la Masingeli limekubalika, hata Asaninyau wenzake sasa hivi nao pia wanamuita Masingeli na yeye pia hilo jina amelipokea kwa mikono miwili


Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Fulham 3-0 Tottenham hotspurs

Huyu kocha wa Spurs Ange anapewa hype sana na media but naona ni kocha wa mid table team tu

Bissouma mchezaji asiyejali uwanjani

The top four race is officially open

Aston vilaa 55
Tottenham hotspur 53
Manchester united 47


I hope manchester united can make top four

....
 
Back
Top Bottom