Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kula chuma hicho!
Snapinsta.app_431150689_607385491586432_5345944471388063026_n_1080.jpg
 
Lindelof si defender wa kiwango cha kupigania top 4 achilia mbali ubingwa.Nikimwona katika start 11 nakuwa na wasiwasi, one against one ni majanga sijui amewezaje kuwemo kipindi kirefu ?.
Mwalimu hana options kwenye benchi tutamtukana bure tu.

Fergusson wakati anazitesa Man City alikuwa na Rooney, Barbatov, Tevez, Ronaldo, Ferdinand, Vidic, Carrick, Anderson, Oshea, Neville, Fabio,Rafael, Jisung, Scholes, Giggs.

Hicho ndicho alichonacho Man City kwa sasa. Jana line up ilikuwa na wachezaji watano ambao huwa wanaanzia benchi na kwenye sub kulikuwa na watoto wa academy tu.

Hata klop na Pep hii squad asingeweza kupambana na squad kama Man City au Liverpool. Imagine Man City akiumia Rodri tu au De Bruyne wanaanza kupigwa na kila timu.

Kipara pamoja na mapungufu yake hana kikosi cha kupambana na Liverpool wala Man City tutamtukana bure.
 
Mwalimu hana options kwenye benchi tutamtukana bure tu.

Fergusson wakati anazitesa Man City alikuwa na Rooney, Barbatov, Tevez, Ronaldo, Ferdinand, Vidic, Carrick, Anderson, Oshea, Neville, Fabio,Rafael, Jisung, Scholes, Giggs.

Hicho ndicho alichonacho Man City kwa sasa. Jana line up ilikuwa na wachezaji watano ambao huwa wanaanzia benchi na kwenye sub kulikuwa na watoto wa academy tu.

Hata klop na Pep hii squad asingeweza kupambana na squad kama Man City au Liverpool. Imagine Man City akiumia Rodri tu au De Bruyne wanaanza kupigwa na kila timu.

Kipara pamoja na mapungufu yake hana kikosi cha kupambana na Liverpool wala Man City tutamtukana bure.
Watu hili hawalioni kabisa
 
Watu hili hawalioni kabisa
Pamoja na mapungufu yake Mwalimu lakini pia hana kikosi cha kupambana na timu zote zilizopo top 10.
Kama inatokea ameshinda ni overperformance tu.

Kwenye squad yake wachezaji wanaostahili kuwa regular starter kwenye timu inayopigania ubingwa ni watatu tu.
 
Football ya leo imekuwa ni ya aibu tangia nizaliwe miaka 40s ago Flano hii ndio team yako ya kupiga kelele kwenye Jukwaa la Arsenal?
Mechi ya jana Mancity alikua anakufa goli nyingi ni vile tu mashabiki wao baada ya kuona timu yao inaelemewa wakaamua kuwarushia mabomu wachezaji wetu.
Jamani mpira ni burudani sio vita, wachezaji wetu baada ya kuona hawa jamaa wanataka kutuua ndio kaamua tu kwa makusudi kuwaachia walau wafunge vigoli viwili vitatu ili tutoke salama tu uwanjani.
Kweli nimeamini Man Utd tunamaadui wengi sana, sasa hivi kabla ya kuingia uwanjani lazima FA watutahakikishie ulinzi wa kutosha, ikiwezekana watufungie hata Irone Dome kabisa maana sio kwa hayo maguruneti wanayorushiwa wachezaji wetu uwanjani.
 

Attachments

  • 1709536654548.jpg
    1709536654548.jpg
    551.8 KB · Views: 7
Nilipiga kelele sana humu kuhusu Tapeli ETH sikueleweka , nowdays wafuasi ni wengi sana


Nilisema Ole Gunar alikuwa kocha sahihi wa manjesta ila sababu ya USALITI akatimuliwa


Nowadays hadi Wachambuzi wanayaona niliyoyasema baada ya mechi 5 tu ETH apewe timu

Cesc Fabregas on Erik ten Hag:

“I don't know his gameplan, I don't know if he has structure, I don't know what his message is. At least with Solskjær there was a plan - defend well and have great breaks.” #MUFC [BBC]
 
Nilishasema 7HAG uwezo wake ni mdogo ,kuna watu wakanitusi ,

Erik 7 hag mwenyewe anasema performance Jana ni nzuri na inavutia

Kifupi jamaa alishaipata manjesta anayoitaka ,yaani ndio anataka incheze hivo sababu uwezo wake umeishia hapo


Anasema...

Tumecheza vizuri sana”
“Tulikuwa karibu kupata ushindi au sare hapa”

Erik 7 hag a Dutch David Moyes
 
7Hag ni takataka
Eric Ten Hag ni kocha wa ball, tofauti yake na Sir Alex Ferguson ni 2 tu nywele na Big G.
Ten Hag ukimvisha kiwigi halafu ukampa kaBig G awe anatafuna tafuna nakuhakikishia hakuna kombe lolote atakaloliacha mbele yake.
10 Hag ana akili za Carlo Ancelotti, ana plan za Johan Cruyff, ana focus za Mat Busby, winning mentality ya Alex Ferguson.
10 Hag piga kazi baba, mashabiki wote wa Utd tuko na wewe bega kwa bega, wewe ndio mesiah tunae kutegemea kutuvusha, na dirisha la usajili likifunguliwa tunakuomba utuongezee wachezaji wengine kutoka Uholanzi.
tapatalk_-582049224_512x539.jpg
 
Nilishasema 7HAG uwezo wake ni mdogo ,kuna watu wakanitusi ,

Erik 7 hag mwenyewe anasema performance Jana ni nzuri na inavutia

Kifupi jamaa alishaipata manjesta anayoitaka ,yaani ndio anataka incheze hivo sababu uwezo wake umeishia hapo


Anasema...

Tumecheza vizuri sana”
“Tulikuwa karibu kupata ushindi au sare hapa”

Erik 7 hag a Dutch David Moyes
Hatimae Masingeli kafufuka.
Ila bwana harusi si tulikubaliana hauta login Jf mpaka honeymoon ikiisha?
 
Mwalimu hana options kwenye benchi tutamtukana bure tu.

Fergusson wakati anazitesa Man City alikuwa na Rooney, Barbatov, Tevez, Ronaldo, Ferdinand, Vidic, Carrick, Anderson, Oshea, Neville, Fabio,Rafael, Jisung, Scholes, Giggs.

Hicho ndicho alichonacho Man City kwa sasa. Jana line up ilikuwa na wachezaji watano ambao huwa wanaanzia benchi na kwenye sub kulikuwa na watoto wa academy tu.

Hata klop na Pep hii squad asingeweza kupambana na squad kama Man City au Liverpool. Imagine Man City akiumia Rodri tu au De Bruyne wanaanza kupigwa na kila timu.

Kipara pamoja na mapungufu yake hana kikosi cha kupambana na Liverpool wala Man City tutamtukana bure.
Wakati anakuja na sajili zake za kina Antony, Malacia na Mount hakuona kuwa hawaendani nae? Tukiangalia hili angalia na sh ngap alipewa ya kusajili pia.
 
Back
Top Bottom