Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Nilishasema 7HAG uwezo wake ni mdogo ,kuna watu wakanitusi ,
Erik 7 hag mwenyewe anasema performance Jana ni nzuri na inavutia
Kifupi jamaa alishaipata manjesta anayoitaka ,yaani ndio anataka incheze hivo sababu uwezo wake umeishia hapo
Anasema...
Tumecheza vizuri sana”
“Tulikuwa karibu kupata ushindi au sare hapa”
Erik 7 hag a Dutch David Moyes


Hatimae Masingeli kafufuka. Ila bwana harusi si tulikubaliana hauta login Jf mpaka honeymoon ikiisha?