Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Watoto wetu wa academ bado mkuu

We are lucky for Maino and enarcho to graduate

Waliobaki sioni potential they will end up playing luton and championship

Liverpool ana bahati this time wamegraduate vijana wazuri sana
Basi amjaribu Amad walau hii game kuliko kurudia makosa yale yale ya Rashford akitegemea matokeo.
 
Watoto wapi hao ?
Kambwala, FORSON, AMAD,
Hadi sasa kwa mpira wetu ule tunaocheza hata tukishinda unaona ni bahati zaidi ya uwezo, kitu ambacho hutegemei kukipata kila mechi.
Kwetu msimu umeisha ila tuna furaha na tajiri mwembamba ameonyesha kulifahamu tatizo la msingi la timu yetu kwa mujibu wa wengi miongoni mwetu katika majukwaa mbali mbali. Na nia ya kulimaliza pia ameonyesha. So, tuwape vijana nafasi wafurahie soka lao mbele ya watazamaji wa Old Trafford
 
Kambwala, FORSON, AMAD,
Hadi sasa kwa mpira wetu ule tunaocheza hata tukishinda unaona ni bahati zaidi ya uwezo, kitu ambacho hutegemei kukipata kila mechi.
Kwetu msimu umeisha ila tuna furaha na tajiri mwembamba ameonyesha kulifahamu tatizo la msingi la timu yetu kwa mujibu wa wengi miongoni mwetu katika majukwaa mbali mbali. Na nia ya kulimaliza pia ameonyesha. So, tuwape vijana nafasi wafurahie soka lao mbele ya watazamaji wa Old Trafford
Hapana hili kombe tunalitaka sana kuliko kingine apeleke timu yote anayoitegemea.
 
Mtumishi hewa aonekana
1710678762313.png
 
Leo niko na raha sana sana..nimemuona mhuni WAN BISSAKA, bekibla dunia MAGUIRE na terminator HUEJLUND. Jogoo lazima akae.
 
Back
Top Bottom