Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Mnawacheka watu wa Sociology ila mngejua watu wa Sociology wanatafutwa sana kwenye NGO kama AMREF, World Vision, n.k na wanakula mshahara mrefu kweli
Na mie nashangaa tu hizi dharau zao hawa jamaa. Binafsi kila siku lazima nikutane na tangazo la kazi linalohitaji mtu wa sociology hasa kwenye NGO.
 
Pole sanaa kwa haya mawazo yako ila mi binafsi....

View attachment 2182816

1. Am the farmer wa Parachichi + miti ya mbao.
2. Nawasaidia watu kupata scholarship
3. Research, proposal, business plan, E.t.c writer

Those are my side hustle.

Kengine (out the box)...
Na sababu hasa ya kwenda kusoma scholarship nchi niliyoichagua ni kwamba "I need to do something big".
Nchi niendayo nataka pia kwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza mafuta mazuri ya Parachichi ili niwe Avocado Oil manufacturer hapa TZ.
Nchi niendayo inalima sanaa Parachichi.

Na Mimi nina mashamba makubwaa, yotee nikipanda Parachichi nitakuwa na zalisha nyingi sanaaa.

Na huko niendako nishaanda pesa ya kurudi na mashine "Avocado compressor"

Nilichoona wakulima wengi wanauza Parachichi, sasa mimi nimewaza mbele zaidi.

Sitaki kuuza Parachichi, nataka kuuza mafuta ya Parachichi.

Na kuhusu mshahara.

Nina watoto watatu.
Mmoja naishi nae, wawili kila mtu na mama yake (wapo kwa mama zao).

Nilichofanya nimejaza standing order NMB kila mwezi mshahara wanaugawa kwa watoto through account zao nilizo wafungulia.

Kwahiyo mshahara sio wangu ni wa watoto.

KARIBU KIJANA UFIKIRIE OUT THE BOX.

#YNWA
Ni Mbeya au?
 
Tunachokisema hapa, Kwa waliopata kazi usifocus na maneno ya mitandaoni esp wanaoguess scale. Utakua disappointed
Cha muhimu soon utapata offer letter Yako utajua scale hiyo ni sawa na ngapi then utapiga calculations zako kama unaweza ishi nayo.
Boraa uwaambie ukweli tyuuuh,. .kuna shost kashaanza kutunyanyasa yaan hata barua hajachukua khaaah,
 
Hawa ndio wale wameingia na njaa kali , tusubiri tuone maana wanawaza IST sijui mjengo sijui nini , waangaliwe sana hawa kuna kizazi kimepania sana kupiga ,kwahiyo wasifikiri ni ajira tu waangalie na wafanya biashara watakavyoshughulikiwa
 
Back
Top Bottom