Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,959
- 2,180
Ngoja waje
Sawa tunawasubiri mkuu. Bila ya kumsahau Mpombote tunaomba utusaidie hapa tafadhali.
Thanks a lot...!
Ngoja waje
Mimi nawafahamu zaidi ya 40, wamekosaNdio nawafahamu 10 waliokosa
Bufa la nini tena?Wanalipa Tsh ngapi watu wajiandae kununua sabufa
Ndivyo WaTZ walivyo, kila kitu wameshakomaza akili zao kuwa ni mchongo. Hopeless!Hamna michongo... nina marafiki 6 wamepata kwa kupambana
Natabiri! Wewe kama ni mzee na una watoto,,basi wamepata baba bora sana. Najua umenizidi umri, shikamoo mzee wangu!Hiyo ni nyingi sana kwa mtanzania masikini, aliyemaliza chuo na kujishikiza kwenye vibarua vya hapa na pale ilimradi mkono uende kinywani. Hongera kwa wote hasa wale watoto wa kimasikini muende mkalitumikie taifa kwa weledi na uadilifu bila kusahau walio nyuma yenu family zenu na rafiki ikibidi.
Na ndivyo majority ya familia zetu za kiafrika zilivyo, yaani akitoboa mmoja tu wote wanamuangalia yeye. Ni upuuzi upuuzi tu.Ubaya wa kufanya kazi TRA ni mmoja tu watu wanakuoverate una pesa nyingi ngoja ndugu na jamaa wasikie utajuta hayo matatizo
Acha kukatisha wenzio tamaa. 25-30 sio mbaliDah kama Kuna kijana Ali apply izo KAZI na amekosa afute ndoto ya kufanya kazi TRA tena hapo ajira zingine km izo ni 2025-30
Kwa makadirio tu, naibu katibu mkuu UN anakunja ngapi?Unachosema ni sahihi kabisa mkuu. Kuna vitengo wanakunja hela ndefu sana katika hizi hizi Government Institutions au Authorities, achimbilia mbali huko kwenye Embassies, International Organizations na U.N ndio hatari sana.
SafiKwanza niwapongeze wote mlipata kazi ila nawakumbusha vijana wezangu kutimiza malengo yenu yenye tija katika maisha yenu achana na showoff maisha yana mengi.
"...mkatimize wajibu na mtende haki..."Nawapa pongez vijana wote walioitwa kazini katika taasisi mbali mbali za serikali ikiwamo TRA na Takukuru!
Ni takriban vijana 1900 wameondoka mtaani rasmi !
...Mkatimize wajibu na mtende haki!
View attachment 2181824
Kauli ya kipuuzi, mtaani sio poa kwako tu.Hongereni sana wapambanaji.
Hakika kila mtu ana riziki yake,Sisi ambao hatujabahatika huenda riziki yetu bado, kwahiyo hatuna budi kukomaa.
Inshallaaah!! Kila mpambanaji Mungu atampa riziki yake..
Oya mtaani sio poa wazee..🥱
Na ukiwa na akili ya hivyo wala hufanyi jitihada zozoteNdivyo WaTZ walivyo, kila kitu wameshakomaza akili zao kuwa ni mchongo. Hopeless!
Hii tunaita wivuMajina ya michongo
Kwa makadirio tu, naibu katibu mkuu UN anakunja ngapi?
It is trueNa ndivyo majority ya familia zetu za kiafrika zilivyo, yaani akitoboa mmoja tu wote wanamuangalia yeye. Ni upuuzi upuuzi tu.
We acha tu unakuwa tegemezi ndo maana hatuendi mbele kijana akioa tu matatizo yanazidi hapoNa ndivyo majority ya familia zetu za kiafrika zilivyo, yaani akitoboa mmoja tu wote wanamuangalia yeye. Ni upuuzi upuuzi tu.
Bufa la nini tena?
Kuna jamaa yangu yuko hapo tra, ila huwa ananikopa mara kwa mara wakati me mwenyewe naunga unga tu life.sema maisha yetu waafrica ni ngumu kuwakwepa ndugu,labda uwe unatoka familia za akina kikwete hukoWe acha tu unakuwa tegemezi ndo maana hatuendi mbele kijana akioa tu matatizo yanazidi hapo
Ukiwa na kazi mtihani sanKuna jamaa yangu yuko hapo tra, ila huwa ananikopa mara kwa mara wakati me mwenyewe naunga unga tu life.sema maisha yetu waafrica ni ngumu kuwakwepa ndugu,labda uwe unatoka familia za akina kikwete huko
KabisaNa ukiwa na akili ya hivyo wala hufanyi jitihada zozote